Wakuu tatizo langu ni moja kwamba umeme wangu natumia wa rea ila nalipa sawa na umeme wa viwanda ambao ni 3face mi kawaida nanua umeme wa 5000 ambao kwa umeme wa viwanda ni units 14 na wa rea ni 41 sasa naombeni msaada namna ya kutatua tatzo langu hili kwamaana naumia sana[emoji119] [emoji119]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.