Uko sahihi kabisa, kuna jarida moja nchini Nigeria lilitoa picha za wasanii mbalimbali picha kipindi wamepigika hawajawa maarufu na hawajawa na pesa, picha ya pili ni kipindi cha sasa kwa kweli ni vitu viwili tofauti,
Tatizo tunahukumu kwa kusikiliza maneno ya upande mmoja, ni vyema na mwanamke tungepata wasaa wa kujua kwa upande wake ndipo tuweze kutoa ushauri mzuri.
Mambo ya ajabu haya unampiga mwanamke? Alafu aache ujinga wa kwenda kuhemea wapange bajeti amkabidhi mwanamke pesa atajua mwenyewe na kupangilia maemezi, inavyoonekana mwanamke anakosa hata pocket money kwa ajili ya mahitaji binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.