Yaan inafikia hatua mtu anakata tamaa ya kusoma ila naamin Mungu yupo yote yanawezekana...inabidi waanze kua wajasiriamali uku wakisubiri chuo mwakan tena...waanze kujishuhulisha hii itasaidia hata kupunguza mzigo wa kuhangaika Na mikopo wakianza kuapply tena mwakani....
Hili in janga tena bomu kabsaa make weng tu wamekosa vyuo dis year mwenyez Mungu ashushe huruma zake kuwepo Na fourth round bas kama vipy subirien mwakan mtaapply tena jehovvah yu hai so no worries mtapata...
mwaya
mwayaa..io kozi ni nzur sana na pia the gud thing anapenda sanaa sasa apoo anaweza hata kujiajili atatoka tu tatizo wabongo tunacomplicate mambo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.