Huduma either imewashinda au mnafanya kwa mipangilio yenu wenyewe.
Labda km mmebadili hii mifumo ndani ya miezi miwili hii ambayo situmii huduma yenu.
1). Mfumo mbovu wa ukataji wa tiketi, yaani nyie na makonda wa daladala za kawaida hamna tofauti ( hamuwezi kucontrol mapato, na ni UHUJUMU...
Kwanza waondoe tar ya kuzaliwa, pili waongeze group la damu, waongeze chip ambayo itabeba taarifa zako basic hii kiusalama waweke taarifa basic tu, vinginevyo watesi wakija kukuamua kukukumiza umekwisha,
Na waweke mtaa na mkoa unapotokea.
Then waunganishe hizi taarifa kwnye data base moja ya...
Yaani ni sawa na wewe ufanye kazi nyingine, either ya kuuza bidhaa/ Huduma au uwe mwajiriwa, then kipato chako unapokipata mtu akuambie usiende kunywea bia, au usiende kununua gari.
Kwa kweli serikali inawatesa wakulima.
Wkt huohuo mnataka kuwahamasisha watu waingie kwenye kilimo, wakt huohuo...
Mzee jitafute tu, ipunguze hiyo mahari kwa 500 nyingine, halafu muwe mnaawambia maisha yamewapiga mambo yamebadilika mnaitafuta hiyo hela miaka yote, mpk huyo mzee aombe poo.
La sivyo naskia wale ni wanga , wasije wakakuchukua msukule
Lakini tujiulize, tutawafacilitate vp, wakulima waingie shambani km tunawabana namna hii.
Wanaolima kwny large scale ni wale ambao wameenda kulima kwa ajili biashara..
Leo tunavyomdiscourage ataondoka afanye biashara nyingine, watabaki wakulima wetu wa siku zote wa small scale.
Kaka mimi niliwahi kuwa na hiyo mentality, nadhani ukuaji wangu wote..
Sikutaka kabisa wanawake maskini, na maskini niliokuwa nao walijua tu sipo kwao kwa mahusiano ya kudumu.
Umri ulipoenda, nilikuja kujua ni makosa makubwa kwa mwanaume kuwa na mwanamke tajiri, hutoweza kuwa mwanamume mwenye...
Sera zetu kama nchi hazijakaa sawa, kila mtu atakuja na lake linalomfaidisha kisiasa.
Ila Rais, tunaweza kusema anaweza kuona report ya hali ya chakula nchini ikiwa wameforecast hali tete ya kiusalama wa chakula mwakani, hapo hana budi kufanya maamuzi.
Lakini km sio sbb za kiusalama , inapaswa...
Tunakubali rais ndio kiongoz wa nchi, lakini nadhani sasa inapaswa hizi nafasi za teuzi zilizopo mikononi mwa Rais zipungue.
Panga pangua ya safu zake ni kila wkt, hawapi nafasi ya watendaji kufanya kazi ikaonekana.
Katiba ingempa nafasi kadhaa za muhimu kiusalama na kisera lakini hizi nafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.