Recent content by Champion tz

  1. C

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Vipi kuhusu hawa NFRA, COPRA, Bodi za mazao mfano sukari n.k.?
  2. C

    JamiiForums Tanzania Recategorization against current salary

    Na je, inachukua muda gani mpaka mchakato mzima kuweza kukamilika baada ya kuandika barua ya kuomba kufanyiwa recartegorization? I mean Unaweza kubadilishwa kada muda wowote na kuanza kazi? au ni mpaka mwaka mpya wa fedha uanze
  3. C

    JamiiForums Tanzania Magari Binafsi yaliyosajiliwa kuanzia T100AAA Hadi T999EKZ Hayafiki Millioni Tatu.

    Ili kujua idadi ya magari yaliyosajiliwa kuanzia T100 AAA hadi T999 EZZ katika mfumo wa nambari za magari Tanzania, tunahitaji kufanya hesabu ya mchanganyiko (combinations) wa nambari na herufi. Muundo wa nambari za magari Tanzania mara nyingi hufuata L NNN LLL, ambapo: * L ni herufi moja (kwa...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    More explanation about this⁉️
  5. C

    JamiiForums Tanzania NMB mna shida gani kwenye huduma zenu kupitia mawakala?

    Utakuta bango hapo nje ila ndani hawana huduma. Mimi nahisi labda hawapati maslahi mazuri ndio maana pia wanazikimbia maybe.
  6. C

    JamiiForums Tanzania NMB mna shida gani kwenye huduma zenu kupitia mawakala?

    NMB huduma za kibenki kupitia kwa mawakala imekuwa ni changamoto. Unaweza kwenda kwa mawakala hata 5 mfululizo, kila mtu atakuambia mara huduma hamna, mashine hamna etc. Sijui shida ipo kwa nani. Yaani kama una shida ya haraka na hela yako lazima ukione cha moto, ukiachilia mbali ATM...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Nimetafuta ajira (kazi) kwa muda mrefu bila mafanikio yoyote, Naombeni nafasi nijikwamue kimaisha ndugu zangu

    Ingia website ya TaESA apply intern watu wa kilimo bado wanahitajika na makampuni mengi
  8. C

    JamiiForums Tanzania Mwenye uzoefu wa Internship ya World Vision

    Intern unataka ulipwe na wakati upo mafunzoni? labda ungeuliza hata ku volunteer
  9. C

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania kuna agent wa kazi nje ya nchi?

    Nje ya nchi ipi?, maana hata Kenya ni nje ya nchi.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa ajira au connection

    Jaribu pia kuapply intern TaESA unaweza ukapata bahati yako
  11. C

    JamiiForums Tanzania Kuna aliyefanikiwa kuapply kazi NMB za Direct sales

    Wakuu kuna mtu aliye fanikiwa kuapply hizi kazi zilizotangazwa na Benki ya Nmb maana kwangu naona portal yao imegoma kufunguka na muda ndio unaelekea kuisha.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Takukuru wamemwaga ajira nao
  13. C

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi Idara ya Uhamiaji Leo 11/12/2022

    Kozi niliyosoma degree haipo hapo kwenye hizo wanazoziitaji. kuna bahati yoyote inayoweza tokea au nisipoteze muda tu.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hivi kama pale kwenye zile kozi walizotaja wanataka mtu mwenye diploma na wewe una degree, haiwezi kutokea bahati ya mtende au nikate tamaa tu nipotezee.
Back
Top Bottom