Zamani tukisikia mwalimu amekufa, swali lilikuwa ni mwalimu wa hisabati au kiingereza? Tena kwa mshangao wa furaha, ghafla jibu linatoka ,hapana yule mwalimu sayansi na maarifa ya jamii! Hapo watu wanaangua vilio sio kushangaa tena.
Kila mtu anamlia timing mwenzie, wakati wewe unamfanya mlinzi yeye anakufanya chuma ulete usije ukasema ni bwege no yupo makini, hakuna agongae nyagi akawa poyoyo!
Kuna tofauti Kati ya mlevi na mnywaji, ulevi ni kuzidisha kiwango kulingana na mahitaji, kunywa ni kupata kulingana na uhitaji bila kuzidisha, uwezo wa kufikiri hauathiriwi na unywaji ila ulevi, pia ukifikiria sana unapoteza uwezo wa kufikiri fikra yakinifu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.