Mwandishi umechanganyikiwa,,, nitajie jambo lipi ambalo makonda ameanzisha na limeisha Kama unajua,,,, zawadi za usafi,, kupima tezi dume,,madawa ya kulevya,, wajane,, kesi za ardhi,,, YOTE amefeli,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera Sana mkuu,, mawaziri yako mazuri Sana,,, ila kuwa na subira,, wapo wengi Sana watumishi wa una wanatamani kuacha kazi Kama wewe ila wameshindwa kwa sababu ya uoga,,, umekuwa role model wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.