JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Kiongozi Jokakuu, nadhani William Sekule alikuwa ndiye DPP kwa wakati huo. Hv sasa ni jaji mstaafu. Nadhani sijakosea.
..asante.
..William Sekule aliteuliwa kuwa Jaji wa mahakama kuu.
..baadae alikuwa Jaji wa Mahakama ya Mauaji ya kimbari ya Rwanda.