Sifa nyingine ya Augustine Mahiga: Yeye ndiye "Shahidi Y" kwenye kesi ya Uhaini ya mwaka 1982/83

..Huyu ndio alikuwa Mwendesha Mashtaka ktk kesi ya uhaini.


Judge William Hussein Sekule sworn in as member of the Appeals Chamber
APPEALS CHAMBER
PRESS RELEASE
(Exclusively for the use of the media. Not an official document)
The Hague, 18 March 2013
JKE/CS/PR1552e
Judge William Hussein Sekule sworn in as member of the Appeals Chamber
130318_sekule.jpg

Judge William H. Sekule
Judge William H. Sekule from the United Republic of Tanzania was today sworn in as a new permanent Judge to the ICTY and assigned to the Appeals Chamber. Judge Sekule’s appointment brings the total of number of permanent ICTY Judges to 19.
Biographical Note
Judge William H. Sekule joins the Appeals Chamber from the Trial Chambers of the International Criminal Tribunal for Rwanda where he has worked since May 1995. He served as Presiding Judge of Trial Chamber II from June 1995 to June 1999 and again since June 2001.
Judge Sekule was born in 1944. Before joining the Tribunal, he was State Attorney, Senior State Attorney and Principal State Attorney from 1970 to 1979 in the Attorney General’s Chambers of Tanzania. He was Director of Public Prosecutions in the United Republic of Tanzania from October 1979 to April 1987 and Judge of the High Court of Tanzania from April 1987 to June 2004. Judge Sekule was a member of the Board of the Faculty of Law, University of Dar es Salaam (1978-1987) and a member of the Police and Prison Service Commission from 1978-1987. He participated in the meetings of the 6th and 7th United Nations Congress on The Prevention of Crime and The Treatment of Offenders, in 1980 and 1985, respectively, in Caracas (Venezuela) and Milan (Italy). He also attended the Preparatory Meeting for the Africa Region for the 7th United Nations Congress on The Prevention of Crime and The Treatment of Offenders in Addis Ababa (Ethiopia) in 1983, where he was also elected one of the Vice-Chairmen of the meeting. Judge Sekule attended the 39th (1983) and 40th (1984) sessions of the United Nations Commission on Human Rights in Geneva (Switzerland) as Deputy Leader of the Delegation of the United Republic of Tanzania.
Judge Sekule graduated in Law from the University College of Dar es Salaam of the University of East Africa (1970).
International Criminal Tribunal for the former Yugoslavia
For more information, please contact our Media Office in The Hague
Tel.: +31-70-512-8752; 512-5343; 512-5356 - Email: press@icty.org
Follow ICTY on Facebook, Twitter and Youtube
 
Je, Augustine Mahiga ndiye "Shahidi Y" kwenye kesi maarufu ya uhaini ya mwaka 1983?

Yasemekana alikuwa na kumbukumbu mujarab zilizowezesha kuwasambaratisha washtakiwa.

Kitabu cha Kesi ya Uhaini kilitoka mwaka 1985 kilichokuwa kimeandikwa na Marehemu Mnenge S. Suluja. Mhusika mkuu wa washtakiwa alikuwa Thomas Lugangira au ‘Uncle Tom’. Wenzake walikuwa ni Hatibu Gandi au ‘Hatty Mac Ghee’, Kapteni Mohammed Tamim, Kapteni Mbogoro, Kapteni Christopher Kadege, Luteni Badru Rwechungura Kajaja na Kapteni Mapunda.

Wengine walikuwa ni Banyikwa na mkewe, Christopher Ngaiza, Zacharia Hans Pope, Kapteni Rodrick Rosham Robert, na Eugene Maganga. Kingine kilichokuwa very interesting kwenye kesi ni baadhi ya wana usalama kutumia Alphabet kuji-indetify badala ya majina yao yaani walikuwa Mr. X Kama Mabere Marando, Dr. Hassy Kitine, na Mr Y Dr Augustine Mahiga, nadhani pamoja na Mizengo Pinda nk.

Washtakiwa 9 Kati ya 16 Walihukumiwa kifungo cha maisha. Na Jaji Nassoro Mzava. Mwaka 1993 Walitoka kwa Sababu ya Tanzania kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi hivyo wafugwa wa kisiasa walipaswa kutoka Lakini Hatty MCghee alitoka akiwa mahtuti na akafariki Hospital MCghee aliwahi kutoroka pamoja na Uncle Tom lakini akadakiwa Horohoro Tanga. Mawakili Waliotia Fora ni Hussein Muccadam(RIP) Murtaza Larkha, Jadeja Wote walikuwa wa Asia.
Mzee pinda nae alikuwa hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Joka Kuu umenikumbusha mbali!

Tulikuwa tunaishi Drive In Estate, mafleti next to Banyikwas, nyumba zimeungana na kutenganushwa na ukuta. Mzee wa Kihangaza, mke Mhangaza, alikuwa na mabinti 4 bomba sana!, Hope, Daines, Betty na Ngola na kaka yao mmoja Mzomu. Hapo ndipo vikao vilipo fanyikia!.

Kesi hiyo ilikuwa na similarities nyingi na Kesi ya Mauaji Mwanza, Mzee wangu, Andrew Mayalla ndio alikuwa RSO wa Mwanza, Jaji alikuwa Nassor Mzavas, DPP alikuwa William Sekule, Mzee wangu alitetewa na wakili Murtaza Lakha, ndie pekee alichomoka, wengine wote walikula mvua nyingi!.

Murtaza Lakha alinifanya nitamani kuwa wakili, by then ukikosa 1st class forget law, ndio nika-opt journalism, he was the best na mpaka sasa bado sijaona wakili yoyote Tanzania aliye vaa viatu vyake!.
P
Heshima kwako and salute kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wangu ni mtu mkimya sana ila kuna siku aliamua kufunguka kuhusu hawa jamaa na mambo waliyoifanyia nchi kuanzia miaka ya 1975-1995 (The Golden Age of Tanzanian Intelligence), kiukweli mwili wangu ulisisimka maana kuna wazee nilikuwa nawafahamu lakini nilikuwa nawachukulia kawaida. Ila kilichonishangaza sana ni kwamba wengi wao kwenye ile orodha walikuwa ni watu wa Njombe na Iringa. Alinisimulia kidogo kuhusu Mzee wetu Comrade Mizengo Peter Pinda na sehemu alizotembelea huko Mashariki ya Kati akiwa na wenzake fulani hivi (Majina Kapuni) siku hizi ni mabalozi wastaafu.

Kuna mambo kafanya Mzee Mahiga ambayo binafsi baada ya kuyafahamu yalinifanya nitokee kumkubali sana yule Mzee wetu.
Japo kuna wengine ambao pia mchango wao ni mkubwa sana japo kutokana na kazi zao hawawezi kufahamika kirahisi, kuna watu kama marehemu wazee wetu wakina Peter Siyovelwa (mbali na ukauzu wake mchango wake ulikuwa mkubwa sana), Mzee Kaduma, Mzee Mayagila na wengine ambao siyo vyema kuwataja maana bado wapo hai.

Nilitamani sana kuandika kitabu kama kumbukizi ya haya matukio, maana kuna baadhi ya wahusika ambao ni rafiki wa mzee wangu walisema kwamba wangenisaidia lakini nikafikiri kwamba sheria zetu za nchi siyo rafiki na naweza kuandika kwa nia njema kabisa halafu nikaishia kuvurugwa tu au kupitiwa na kuandika mambo ambaya sikutakiwa kuyaandika.

Leo niko Iringa mjini na nilitamani sana kwenda Tosamaganga kumzika Mzee wangu Mahiga lakini nimeshindwa kwenda kwasababu kuna mambo hayajakaa sawa kidogo na vikwazo vimekuwa vingi sana. Lakini Mungu amlaze mahali pema sana huyu Mzee wetu na aipe faraja kubwa familia yake. Tanzania imepata pigo kubwa sana kwa kifo chake, yeye ni kati ya wa Tanzania wachache sana ambao ni wajenzi wa sera ya mambo ya nje ya Tanzania (Architects of Tanzania's Foreign Policy) akiwa nyuma ya wanasiasa nguli kama Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Mzee Oscar Kambona, Mzee Job Lusinde, Mzee Salim Ahmed Salim, Mzee Abdulrahaman Mohamed Babu, Mzee Mkapa na wazalendo wengine.....

Ambassador MAHIGA was The Man, The Myth and The Legend.........
Umenikumbusha mzee peter siyovelwa nilkwenda ofini kwake 2003 akiwa mwenyekiti wa alart nikaongea nae kumbe ndio ilikuwa ya mwisho kuonananae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasemekana Baba yako alikuwa mtu mwena na mwenye akili sana na hata mama yako pia naye alikuwa na uwezo mzuri sana kichwani (Hizi ni habari za wambea). Lakini mbona wewe umekuwa ni mtu wa ajabu na hovyo-hovyo kihivi, au vinasaba vya akili vya wazazi wako vimekuruka wewe na kwenda kwa wajukuu ? Man you're a disappointment.....

NO HARD FEELINGS...........
Duuu hatari sanaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasemekana Baba yako alikuwa mtu mwena na mwenye akili sana na hata mama yako pia naye alikuwa na uwezo mzuri sana kichwani (Hizi ni habari za wambea). Lakini mbona wewe umekuwa ni mtu wa ajabu na hovyo-hovyo kihivi, au vinasaba vya akili vya wazazi wako vimekuruka wewe na kwenda kwa wajukuu ? Man you're a disappointment.....

NO HARD FEELINGS...........
Mzee umebomoka balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Historia hii imenifanya nianze kusoma upyaa kitabu cha kesi ya uhaini kila kurasa ninayomaliza kusoma na mwili unanisisimka

Ukimfuatikia Shahidi wa kwanza Ndugu Mhando jinsi alivyobanwa na maswali kutoka kwa Wakili Lakha utamuonea huruma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, pia nilishasoma mahali , nadhani ni humuhumu JF kuwa Wakili Lakha alianza kazi kama karani wa mahakama baadaye akajiendeleza na shule ya mambo ya sheria.
Hivi huyu wakili alipotelea wapi? Kwani aliibuka ghafula na kupata umaarufu mkubwa sana katika kesi hiyo na baada ya kesi sidhani kama aliendelea kusikika na kwa wakati ambapo uhuru wa vyombo vya habari haukuwepo, huyu wakili alitisha kweli, mpaka magazeti ya uhuru na mzalendo wakawa hawana jinsi ya kukwepa zaidi ya kuandika makali yake kwa jinsi alivyokuwa anawapelekesha mashahidi wa upande wa jamhuri.
Wakuu Chakochangu na Tukundane,
Japo Murtaza Lakha alikuwa na asili ya Kihindi, alizungumza Kiswahili vizuri sana, kama alivyo sasa Prof. Issa Gullamhusein Shivji. Sikubahatika kuijua asili yake ila Prof Shivji ni Mtanzania.

Lakha hakusomea sheria, bali alianzia kwenye ukarani wa mahakama kule nchini Uingereza, Barristers Chambers, na kupanda hadi kufikia ngazi ya wakili, baadaye ndio akahamia Tanzania na batch ya mwanzo ya mawakili kina Hussein Muccadam, Majithia etc ambao wengi walikuwa na asili ya Kihindi kwasababu tulitawaliwa na Uingereza, sheria zetu zote za mkoloni ni copy and paste para materiale (neno kwa neno) toka sheria za India.

Baadae alirejea Uingereza hadi alipoitwa jumla.
He was real good.
P
 
Back
Top Bottom