Recent content by chambulilo

  1. C

    Nassari na Lema: Tuna ushahidi wa madiwani waliohama wakipokea rushwa, tupo tayari kuwaonyesha TAKUKURU na DCI

    Ni Warioba na si Walioba kama ulivyoandika......jifunze kuandika majina ya watu kiusahihi!!!
  2. C

    Mbowe: Hadi sasa zaidi ya Sh. Milioni 100 zimeshatumika kumtibia Lissu. Dereva anaendelea na huduma ya kisaikolojia...

    Wazee wa fursa kazini. Uumpe kiumbe wa kaskazini fursa ashindwe kuitumia....nani kasema....twende kazi Mzee wa kubadili gia angani, tumia fursa hiyo ipasavyo. Na usirudi bongo komaa tu huko huko Nairobi itengeneze mapene mwanakwetu. Riziki imejileta yenyewe hiyo!!!
  3. C

    Report za madini na Wasomi wetu wa UDSM

    "ENRANCE" ndio nini mkuu....hii ni terminology mpya kabisa...Haya bhana wasomi wa UDSM kwa vocabulary mpo vizuri.
  4. C

    Kamati za kudumu za Bunge la Tanzania hazina uwezo kisheria kumfukuza kazi mtumishi yeyote

    Yaani we acha tu......bangi za ufipa mbaya sana ndugu yangu
  5. C

    Wabunge wetu na Dar es Salaam ni ushamba na ulimbukeni?

    Nasikia wapiga kura wa jimbo la SINGIDA MASHARIKI wanalalamika sana.....hawamuoni Mbunge wao jimboni hivyo jero zao wameamua kuziwasilisha kwa Mbunge wa jimbo la Singida Magharibi
  6. C

    CHADEMA wamgeuka Uhuru Kenyatta, Tanzania Daima latumika kumnanga

    Jasiri aachi asili......CHADOMO kama kawaida yao uvigeugeu na kugeuka kula matapishi yao ndio asili yao. Yule fisadi, kesho Huyu mtu safi....hao ndio CHADEMA bhana!!! wanajipambanua kwa sifa yao ya unafiki na ukigeugeu!!!
  7. C

    Rais akimaliza ibada za makanisa,tunamualika kwenye matambiko ya kila mwaka ya wakinga(dini za jadi)

    Madaktari wa Milembe kazi wanayo.....maana wateja wao wanazidi kuongezeka kila kukicha!!
  8. C

    CHADEMA yasisitiza kufanya maandamano kesho ya amani

    Werevu kama kina Mbowe, Lowassa watakacha maandamano, wajinga wataandamana!!
  9. C

    Mh Warioba,rasimu yako iko wapi??

    Halafu tuje uandamane kuwa mmeibiwa kura....akili za Bavicha bhana!!!!
  10. C

    Ilichokifanya mahakama kuu ya Kenya ni sawa na alichokifanya Jecha Zanzibar

    Ufipa wanajipanga kutoa tamko hivi karibu ni kumshawishi Uhuru asusie uchaguzi wa marudio kama walivyofanya visiwani mwaka 2015,kumshawishi Mzee wa sawasawa kususia uchaguzi wa marudio
  11. C

    Taarifa ya kufunguliwa kesi mbili; Kuomba kutenguliwa kwa zuio la jeshi la polisi na bunge live

    Jaji Kihiyo.......duh! haya bhana maana hili jina.......ngoja niishie hapi
Back
Top Bottom