Zitto kaijenga cdm au cdm ndo imemjenga zitto?!!! Lini zitto alifanya ziara zake za kuizunguka tanzania kueleza uhalisia wa hali ya nchi na kutoa elim ya uraia kiujumla wake hata kufikia robo ya mawazo?
Na mimi nikitaka kumkumbusha huyu mbururaaaa mwigulu kua maneno haya aliyatumia mtu makin mch msigwa siku anatukumbusha kuwaombea wanaoshikwa na wake za watu..... I lyk it
Kipenzi cha watu wa bunda!!! Man usiongee vitu usivovijua, bunda yupo jembe la cdm papaa pius muulize huyo asiyemfaham mwandishi wa kitabu anachokipenda atakwambia
Mi nafikili kny hili la katiba tuache ushabiki wa kivyama... jaribun kukapima kamkutano kenu ka watu 100 na mkutano wa hao mlowaita mashoga then mtwambie nani ni shoga ninyi au wao.... na kupitia hilo ndo mtafaham hao mlosema wanachama weng wanakwenda wap kuhudhulia mikutano yenu
Insanity
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.