Recent content by chamajani

  1. C

    JamiiForums Tanzania natafta smartphone budget yangu 500K.

    Angalia PM nimekushauri duka la kupata smartphone nzuri kwa bajeti yako
  2. C

    JamiiForums Tanzania Nahitaji fundi mzuri wa Tiles haraka

    Asiwe Bahatisha Ndurute, ni PM au weka hapa jamvini bei yako kwa SQM. Nyumba ipo Dar, Temeke. Ukiweza kuweka picha za baadhi ya kazi zako itakuwa vema
  3. C

    JamiiForums Tanzania Mabati ya migongo mipana IT trough

    Old is Gold, nimeku-pm mkuu!
  4. C

    JamiiForums Tanzania Kiwamja kinauzwa barabara yakuelekea mgeni nanai

    Umeme umefika, upo huko?
  5. C

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Ujenzi wa Matofali ya Kuchoma hautumiki sana Dar ?

    Udongo wa Dar mashaka, ni mashaka kwa tofali zenyewe pia hata nyumba kuhimili. Lakini pia ufyatuaji wa matofali ya kuchoma una haribu sana mazingira kwa kuacha mashimo makubwa kwa eneo linalotoa udongo, ni wapi na nani atakeyekubali kuharibu eneo lake kwa ajili ya kufyatulia matofali. Hapa Dar...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mtangazaji gani anayekuvutia

    Suluma Kassim wa BBC is my best
  7. C

    JamiiForums Tanzania Agiza kitabu unachokitaka kwa bei nafuu

    Kuna ukweli hapo mkuu, lakini kwa hivi vya hawa wenzetu wa huku Western, wao kila kitabu kikiwa na toleo jipya ndio kinakuwa na ubora zaidi ila kwa huko kwetu hom, nakubaliana na wewe mkuu. Hakuna vitabu siku hizi kuna wajanja walioanza kuistukia google zamani then waka-copy na kupaste.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Agiza kitabu unachokitaka kwa bei nafuu

    Teheteh, wee vitabu ulivyosoma wakati mnazindua Makerere Univ. unataka kuwapa hivyohivyo wanafunzi wako, duuh^^
  9. C

    JamiiForums Tanzania Agiza kitabu unachokitaka kwa bei nafuu

    Hatuna vyote hivyo
  10. C

    JamiiForums Tanzania Agiza kitabu unachokitaka kwa bei nafuu

    Hatuna
  11. C

    JamiiForums Tanzania Agiza kitabu unachokitaka kwa bei nafuu

    Masomo yote, na kuanzia Undergraduate hadi higher profesional level. Ni mwisho wa mwaka hivyo tunajiandaa kuingiza matoleo mapya ya 2014 ndio maana tutauza kwa discounted price
  12. C

    JamiiForums Tanzania Agiza kitabu unachokitaka kwa bei nafuu

    Japo vya Novel sio vingi tulivyonavyo (vingi ni academic na professional), lakini taja jina la mwandishi ndio itakuwa rahisi kukitafuta
  13. C

    JamiiForums Tanzania Agiza kitabu unachokitaka kwa bei nafuu

    Wanajf, Ni wazi kwamba vijana wetu walio Chuo Kikuu na Taasisi nyingine za Utafiti tunakabiliwa na uhaba mkubwa wa vitabu vya taaluma mbalimbali(Uchumi, Uhasibu, Siasa, biashara, Globalization, Statistics na mfano wake). Tuna stock ya kutosha ya vitabu hivi na tunaviuza kwa bei "ya Kitanzania"...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Kumbe ni kweli huyo ni Mnyarwanda kabisa anaeongoza vyuo vikuu Tanzania

    Sawa, tufanye nimekwenda kutafuta maisha, ndio baada ya hiyo miaka mitano nakuwa raia "Automatically"? Bila taratibu zozote? ndio hiki nachotaka unifahamishe serious sijui
  15. C

    JamiiForums Tanzania Kumbe ni kweli huyo ni Mnyarwanda kabisa anaeongoza vyuo vikuu Tanzania

    Mathematically, huenda jibu halisi likawa hapo kwenye Bluu (Mutul Exclusive events). Hayo mengine ni sehemu ya majisifu ambayo mie si fani yangu. By the way nimezaliwa trh 9/08/1968 ilikuwa siku ya Ijumaa, alfajir; ndani ya Jiji hili la Dar, (Japo viyamboni Morogoro). Kwa hiyo hapo kwenye red...
Back
Top Bottom