Recent content by Chamae

  1. C

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    R.I.p wote ni waja wake Na mavumbini tutarejea.Amen.
  2. C

    Picha ya Rais: RC Makonda amtaka Msanii Idris Sultan kujisalimisha kituo cha Polisi

    Unajuaje kama baba Keagan hana mamlaka?
  3. C

    Je, utajuaje kati yako na rafiki yako, yupi atatangulia kufa?

    Ndiyo..ukweli ndiyo huo sema tatizo huwezi kujichunguza mwenyewe Na ukafanikiwa kuthibitisha hili!
  4. C

    Je, utajuaje kati yako na rafiki yako, yupi atatangulia kufa?

    Asante sana mkuu,nafurahi kwa sababu umenielewa Sana. Shukrani.
  5. C

    Je, utajuaje kati yako na rafiki yako, yupi atatangulia kufa?

    Ni Kweli mkuu Na hata wewe ukiamua utapata ukweli pia.
  6. C

    Je, utajuaje kati yako na rafiki yako, yupi atatangulia kufa?

    Hapana mkuu si kila usiyemchangamkia utaanza kufa,ni mambo mengi ila naona kama nimeshindwa kuwasilisha vizuri kwa maandishi ili nieleweke vizuri,natamani ningekuwa naelezea moja kwa moja kwa mdomo.Lakini kwa mfano mmojawapo nilioutoa hapo juu,basi angalau iwe mnakutana Mara nyingi na huyo mtu...
  7. C

    Je, utajuaje kati yako na rafiki yako, yupi atatangulia kufa?

    Hiyo ni kwa mujibu wako mkuu.Huo nilioandika ni moja ya mifano tu miongoni mwa mifano zaidi ya 100000?je unao muda wa kufanya utafiti?
  8. C

    Je, utajuaje kati yako na rafiki yako, yupi atatangulia kufa?

    Afadhali hata umefikiria hilo mkuu
  9. C

    Je, utajuaje kati yako na rafiki yako, yupi atatangulia kufa?

    Nina umri wa miaka 53 mkuu.Karibu,najua hujaelewa Na najua ulivyonifikiria...si kosa lako.
  10. C

    Je, utajuaje kati yako na rafiki yako, yupi atatangulia kufa?

    Habari.. Kifo hakitabiriki, ndivyo tunavyosema. Lakini kila binadamu huwa ana namna ya kufahamu kama maisha yake yanaelekea ukingoni ama la.Kila binadamu amejaaliwa maono hayo ya viashiria vya hatima ya maisha yake hapa duniani.Na huwa haimchukui hata miezi kadhaa ama wiki kadhaa ama siku...
Back
Top Bottom