Hello jf members
Hii ni kwa jinsia ya wanawake, je nifanyeje ili ukubali kuwa mpenzi wangu. Maana naona kama kumekuwa na sintofahamu na kupata mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano imekuwa ngumu
Wewe utakuwa baunsa tu hapo club. Mbona kila siku club hiyo hiyo. Pia mbona haupost mambo mengine kama mjengo, maybe magari au tuseme hata assets nyingine. Pia mbona unarekodi watu wengine na sio wewe mwenyewe japo kwa kujificha sura.
Labda hujamfuatilia vizuri. Yeye anachofanya anamuacha Lisu abwabwaje then yeye anatumia vifungu vya sheria kumaliza mchezo. Sioni kosa lake. Kama ni lawama mpeni hakimu maana ndo mwenye maamuzi . Katuga yeye ni wakili tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.