Recent content by chamaclotus

  1. C

    JamiiForums Tanzania Kwa wanawake: Nifanye nini ili uweze kukubali kuwa mpenzi wangu

    Sawa hapo bad boy ndo nimeshindwa
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kwa wanawake: Nifanye nini ili uweze kukubali kuwa mpenzi wangu

    Hello jf members Hii ni kwa jinsia ya wanawake, je nifanyeje ili ukubali kuwa mpenzi wangu. Maana naona kama kumekuwa na sintofahamu na kupata mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano imekuwa ngumu
  3. C

    JamiiForums Tanzania Heshima ikierejeshwa tu naacha kupost ila mkiendelea na kiburi acha niitwe limbukeni na heshima ntachukua kwa lazima

    Wewe utakuwa baunsa tu hapo club. Mbona kila siku club hiyo hiyo. Pia mbona haupost mambo mengine kama mjengo, maybe magari au tuseme hata assets nyingine. Pia mbona unarekodi watu wengine na sio wewe mwenyewe japo kwa kujificha sura.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Uzuri wa mwanamke ni Uwembamba wake

    Shida wembamba wana papuchi kubwa kama bwawa la mtera
  5. C

    JamiiForums Tanzania Wajumbe CCM ni kirusi nchini, Wanakula rushwa na kupitisha viongozi wasiofaa

    Kuna haja ya kufanya reforms
  6. C

    JamiiForums Tanzania Wajumbe CCM ni kirusi nchini, Wanakula rushwa na kupitisha viongozi wasiofaa

    Hello jf members, Hilo halina ubishi hawa wajumbe wamegeuka janga kwenye nchi yetu. Bora kura tupige wanachama wote.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Clarence Seedorf abadili dini na kuwa muislam wa madhehebu ya Shia

    Subiri aje adukue mitambo ya nyukilia ya Iran ndo mtajua hamjui.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Wakili Nassoro Katuga kuwa makini yasije kukukuta kama yaliyomkuta jaji aliyemuhukumu Sadam Hussein

    Inakuwaje mbupu kama wewe uwe USA wakati inaonekana hata akili ya kuishi Tanzania huna.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Wakili Nassoro Katuga kuwa makini yasije kukukuta kama yaliyomkuta jaji aliyemuhukumu Sadam Hussein

    Napata mashaka na uwezo wako wa kufikiri. Inaonekana utakuwa mwanafunzi wa sekondari
  10. C

    JamiiForums Tanzania Wakili Nassoro Katuga kuwa makini yasije kukukuta kama yaliyomkuta jaji aliyemuhukumu Sadam Hussein

    Lisu hatoboi kwa wakili msomi Katuga, labda mahakama imhurumie
  11. C

    JamiiForums Tanzania Wakili Nassoro Katuga kuwa makini yasije kukukuta kama yaliyomkuta jaji aliyemuhukumu Sadam Hussein

    Wote tu mashahidi kuwa Katuga ni namba moja. Ajengewe sanamu pale posta
  12. C

    JamiiForums Tanzania Wakili Nassoro Katuga kuwa makini yasije kukukuta kama yaliyomkuta jaji aliyemuhukumu Sadam Hussein

    Labda hujamfuatilia vizuri. Yeye anachofanya anamuacha Lisu abwabwaje then yeye anatumia vifungu vya sheria kumaliza mchezo. Sioni kosa lake. Kama ni lawama mpeni hakimu maana ndo mwenye maamuzi . Katuga yeye ni wakili tu
Back
Top Bottom