Recent content by challi s

  1. C

    JamiiForums Tanzania Mwamba Mpina abishana na Bunge zima, wamzomea. Asimamisha Bunge kwa dakika 20

    Alishasema yule jamaa kuwa watu walafi sana
  2. C

    JamiiForums Tanzania Ni May pay tena?

    Mtu anafanya kazi miaka 40 ujana wake wote anamalizia kazini kuna mtu anakaa miaka mitano hata jimboni hawawahi kanayaga analipwa pensheni milon 272 ,unaongea kutimiza wajibu katika mazingira magumu yasiyo na vitendea kazi je hao wangefanya mazingira kama ya wakimu wangekaa kimya?
  3. C

    JamiiForums Tanzania Anataka kuacha ajira ya kudumu ajikite kwenye kilimo

    Kama ana mtaji wa kutosha atapata hela ndefu kuliko kuajiriwa
  4. C

    JamiiForums Tanzania Awamu ya sita wenye pesa wana pesa kweli, na maskini ni maskini kweli

    Mtu anatumikia only 5 years anaondoka na tsh 272M kuna mtu anapata hela ya upatu kwa miaka yote ya maisha yake ya utumishi na watu wanaona sawa tu.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Awamu ya sita wenye pesa wana pesa kweli, na maskini ni maskini kweli

    Mfumo uliotengenezwa umewapa maslahi wanasiasa kwamba wao wana haki ya kila kitu ndio maana kutunga sheria zinazoumiza wengine na wao kuwaacha wakila maisha ni rahisi tu .
Back
Top Bottom