Michael Uledi
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 132
- 322
Imekuwa ni utaratibu wa kawaida kwa wafanyakazi wa Tanzania kuwa na kauli mbiu ya May Pay badala ya May Day kwa kila wakati kudai mishahara bora!
Bahati mbaya sana Serikali ya Chama cha Mapinduzi haijawahi kuhoji ufanisi na tija ya wafanyakazi wake.Utumishi wa Umma madhara ni umekuwa ni utamaduni wa "business as usual" kwa kuendekeza wizi kwa mwajiri,uvivu na utoto kazini hasa kwa walimu wengi!
Utendaji wa vyombo kama vya mahakama,polisi umekuwa ukihojiwa na watanzania wengi akiwemo Mh RAIS mwenyewe ambaye amehoji weledi wa vyombo hivyo!
Ni wakati sasa wa Serikali kuhoji mambo ya tija kabla Mh RAIS hajaombwa mishahara bora na mazingira bora ya kazi!
Kwanini Mh RAIS ambaye ni mwajiri Mkuu asianze kuwapa target kila sekta kwa maana ya Kilimo kuwa na target ya madharani uchango wa asilimia 10% ya GDP.The same kwa sekta ya viwanda,nishati na sekta zingine!
Hakuna haki bila wajibu!
+255746726484(Maoni).
Bahati mbaya sana Serikali ya Chama cha Mapinduzi haijawahi kuhoji ufanisi na tija ya wafanyakazi wake.Utumishi wa Umma madhara ni umekuwa ni utamaduni wa "business as usual" kwa kuendekeza wizi kwa mwajiri,uvivu na utoto kazini hasa kwa walimu wengi!
Utendaji wa vyombo kama vya mahakama,polisi umekuwa ukihojiwa na watanzania wengi akiwemo Mh RAIS mwenyewe ambaye amehoji weledi wa vyombo hivyo!
Ni wakati sasa wa Serikali kuhoji mambo ya tija kabla Mh RAIS hajaombwa mishahara bora na mazingira bora ya kazi!
Kwanini Mh RAIS ambaye ni mwajiri Mkuu asianze kuwapa target kila sekta kwa maana ya Kilimo kuwa na target ya madharani uchango wa asilimia 10% ya GDP.The same kwa sekta ya viwanda,nishati na sekta zingine!
Hakuna haki bila wajibu!
+255746726484(Maoni).