Recent content by Chalkdoctor

  1. Chalkdoctor

    Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

    Ma dere bhana, ko humo kwenye gari hapa kuwa na vitu vya Mh. Nape au hapandagi na ziada
  2. Chalkdoctor

    Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

    Bongo noma sana ko wakiwa wapenzi alituficha. Leo katoa jicho ndo noma au vigezo na masharti havikuzingatiwa
  3. Chalkdoctor

    Why Tanzania tusiwe na hii kitu

    Usipende sana comedy. Fanya kazi jikomedi mwenyewe home kwako
  4. Chalkdoctor

    Arizona woman has up to 90 orgasms in an hour, says condition is ruining her life

    Unaumwa unadhani uko poa kajichumguze mzee. Hilo ni tatizo
  5. Chalkdoctor

    Nape Nnauye na hadithi za Alinacha

    Nape Mb chache kichwani. Anahitaj restoration
  6. Chalkdoctor

    Mwigulu Ni Kiongozi Anayesadifu Fikra za Nyerere

    Umetathmini vp ww. Au kwa kuwa ana lebo ya tz flag kwenye cloths zake. Hilo beat tu mcharuko tu km hao unaowafaham wengine. Hakuna kipya.
  7. Chalkdoctor

    Revealing: Hawa ni baadhi ya wanufaika wa Escrow kupitia kwa Rugemalira (Clue 2)

    Duh. Poa tu ni zamu yao yetu sisi kitaeleweka tu pia. Hastehaste.
  8. Chalkdoctor

    Tusichezee watoto wa shuleni, 'Itatugharimu'

    Safi hiyoo. Ni kawaida ya wazembe wa kutongoza. Tena alipaswa kunyea ndo coz anamatumizi mabaya ya papuchi
  9. Chalkdoctor

    Uso kwa uso na miss chagga

    Baya kweli yani
  10. Chalkdoctor

    Nitapataje nafasi ya kazi ya Ualimu serikalini

    Andika maombi upya kwa katibu tamisemi hapo sasa ni mwakani wakati results za ualimu kada zote yatakapokuwa hewani. Usisubiri anza sasa hv kwa kujalibu na mwakani yena tuma ili usisahaulike.
  11. Chalkdoctor

    Kikwete Amevurugwa na "Kundi la Musoma?"

    No investigation no right to speak. We mwongo kijana hujatambua vizuri hao unaowazungumza wapo vp. Fanya tafiti upya
  12. Chalkdoctor

    Said Arfi (mbunge wa CHADEMA) aeleza sababu za kurejea Bungeni

    Mkuda tu huyu. Vibaraka wa chama cha kijani
Back
Top Bottom