Kenyans naomba mtuambie mradi wenu wa mafuta Turkana-Lamu ulioanzishwagwa na Kibaki umeishia wapi??[emoji1787] tunasubiria mje mtuuzie mafuta wana East Africa [emoji1787]
kwa akili yangu hii hii ndogo ya chuo na kwa research yangu niliyofanya binafsi kichwani mpaka sasa naweza kusema kuwa kila mtu alie CCM kwa sasa yupo kimaslahi zaidi,angalia wasanii,vijana na wote wanao isupport kama hawapo kimaslah,nani naniii?#sijui kama unawaza ninachowaza? unlike UKAWA...
Habari za saizi wana Jamii forum,
Hii ni mara yangu ya kwanza kupost umu, so mniwie radhi kama kunajambo nitakua nimekosea..
Well, ninachotaka kufikisha kwenu ni kwamba mimi ni kijana ambae ni graduate na nasubiria kujiunga na law school mwishoni wa mwaka huu, hivyo bas nipo apa kuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.