Natafuta kazi/internship, Nina shahada ya Sheria

Natafuta kazi/internship, Nina shahada ya Sheria

Joined
Oct 19, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Habari za saizi wana Jamii forum,

Hii ni mara yangu ya kwanza kupost umu, so mniwie radhi kama kunajambo nitakua nimekosea..

Well, ninachotaka kufikisha kwenu ni kwamba mimi ni kijana ambae ni graduate na nasubiria kujiunga na law school mwishoni wa mwaka huu, hivyo bas nipo apa kuomba anaejua sehemu, link, au organisation yeyote ambayo unaona mtu mwenye taaluma kama yangu anaeza kupata. ata internship itakuwa swa pia.

Asanteni sana!
 
ingia zoom tanzania angalia kama hizo intern zipo!!! then jitahidi kutafuta taarifa usisubiri kuletewa kama kinda ndani ya kiota ok.
 
ingia zoom tanzania angalia kama hizo intern zipo!!! then jitahidi kutafuta taarifa usisubiri kuletewa kama kinda ndani ya kiota ok.

sasa si ndo anatafuta hizo taarifa.....ulitaka atafuteje taarifa..... kitendo cha kupost JF na kuingia JF inaashiria kwamba anatafuta taarifa.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom