Recent content by Chakwale

  1. Chakwale

    Polepole alitaka kuzungumza kwa undani kuhusu kilichotokea nyuma ya pazia kifo cha Magufuli, ila ameshadhibitiwa

    Sasa kama aliyotaka kuyasema yanajulikana hadi na ww na umeshayasema,hiyo taharuki wanayoidhibiti ni ipi wakati Kila kitu kinajulikana?? Yaan ww Ujue na useme aliyotaka kuyasema na mtaani yanajulikana Sasa hiyo taharuki inatokea wapi? Kama hayo unayosema ni kweli,na kweli amedhibitiwa ili...
  2. Chakwale

    Hofu ya madhara ya nyuklia yazifanya nchi za kiarabu zijutie ukimya wao kwa Gaza

    Iran ktk hili haiko peke yake,Ina backup ya China,Urusi na Korea Kaskazini. Ambao Kimsingi walijipanga muda mrefu kwenye hili na mitego Yao ni kama imeshanasa. Wao wanaitaka sana hii vita kuliko Israel na bwana ake America.Ubaba wa Amerika Kwa Sasa uko mashakani maana kujihusisha kwake...
  3. Chakwale

    Kwa maslahi mapana ya Taifa CCM imakinike sana na vijana

    Chura Kiziwi ni kama Kenge,haelewi mpaka atoke damu
  4. Chakwale

    PreGE2025 Heche: Nimepata taarifa kuwa kuna mpango wa kunikamata wakati wowote kuanzia sasa

    Wacha wakukamate wazidi kuharibu Mura CCM mwisho wao umeshafika sasa wanatapatapa tu
  5. Chakwale

    Vijana wa Arusha hawaheshimu Tena mazishi

    Kwa hio Pombe hazinywewi huko chuga chugani
  6. Chakwale

    Mwaka huu Simba sc iachane na beki wake Mohammed Hussein. Huyu jamaa ameshazeeka na amechoka sana

    Ubaya aliomfanyia Manula kuwa ameuza mechi ya goli tano zile hadi Sasa Manula anawekwa benchi bila sababu yeyote ya msingi Sasa Umebwela kwake.Malipo ni hapa hapa..
  7. Chakwale

    FT: Burkina faso 0: 2 Tanzania

    Aziz Ki ana Akili na anajua anachofanya
  8. Chakwale

    PreGE2025 Tundu Lissu: Tuungane na ACT ili iweje? Tukishirikiana na vyama vingine kwenye Uchaguzi, tunaenda kuliwa vichwa

    Daah Mkuu mbona kama Umepanic hivi na hii hotuba ya Lissu??Unahofia nn?unaogopa nn??Hata kama ni Mapenzi Kwa chama chako na kukitetea mbona hatuona hoja zozote za maana zaidi ya personal attack Kwa Mh. Lissu?Kwa kufanya hivyo huoni kama ndio unampa Credits zaidi Lissu na chama chake kuliko ww...
  9. Chakwale

    Kitabu cha Munga Tehanani - Uchawi

    Huyu mtata Kweli,hataki kupitia thread nzima ili ajifunze ila analazimisha majibu anayotaka yeye
  10. Chakwale

    Mdude Nyagali: Polisi walikosea kuwaua walioteka watoto Mwanza

    Ukweli mtupu,halafu Kuna watu watakasirika kuambiwa ukweli huu..
  11. Chakwale

    Serikali ya Tanzania inapaswa kuilinda sana nch ya Burundi

    Tatizo viongozi wa umoja wa Afrika Mashariki ni wanafiki na waoga wanashindwaje kuungana kuongeza nguvu ili kudhibiti hali inayoendelea Kongo??Mbona wenzao wa SADC mmojawao akizingua wanaungana chap anashughulikiwa mambo yanakaa sawa..
  12. Chakwale

    Kweli Vyama vya Upinzani wamelamba asali

    Kichwani mwake yamejaa matusi tu hana anachomiliki kingine..
Back
Top Bottom