Recent content by chakor

  1. chakor

    Yupi anafaa kuwa mke kati ya hawa?

    Huwezi kumhukumu mwenza Kwa matendo ya nyuma. Pengine angepata wa kumtuliza asingekuwa mapepe. A anastahili kuwa mke kwani hakuna jipya tena chini ya jua
  2. chakor

    Mume HIV+ anahitajika

    AMIIN
  3. chakor

    Mume HIV+ anahitajika

    Amiin mpendwa
  4. chakor

    Mume HIV+ anahitajika

    Ameen
  5. chakor

    Mume HIV+ anahitajika

    Shida ni utayari wa mtu kutoka ndani ya moyo. Kuna ndoa na couples nyingi wanaishi hivyo lakini baadi ya watu bado wana unyanyapaa kuona kwamba kuishi na mtu mwenye VVU ni kuhatarisha maisha. Si jambo baya uliloliamua but make sure uko commited na maamuzi yako, ilishanitokea hali ya...
  6. chakor

    Mume HIV+ anahitajika

    Ameen
  7. chakor

    Mume HIV+ anahitajika

    Kabisa mpendwa
  8. chakor

    Mume HIV+ anahitajika

    Inshaallah
  9. chakor

    Mume HIV+ anahitajika

    Ameen
  10. chakor

    Mume HIV+ anahitajika

    Natumai mna wakati mwema wapendwa! Mimi ni binti mwenye miaka 25, ninaishi na VVU. Nimechoka na hali ya upweke nahitaji mwenza wa kuishi nae as a husband and wife kwani naamini kuwa na VVU hakuwezi kunizuia kutimiza malengo yangu. Sifa za mume ninayemuhitaji awe ni muislamu, mwenye hofu ya...
  11. chakor

    Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

    Mtoa mada hongera kwa kujikubali na Ahsante kwa kutia moyo wengine. Mwaka flan nilitelekezwa na ujauzito , siku ya kwanza kuanza clinic ndiyo siku niligundulika na maambukizi ya virusi vya ukimwi. Niliumia sana ila nilijipa moyo kuwa mfariji wangu pekee ni mtoto nitakayemzaa hivyo sikuwa na...
  12. chakor

    Natafuta mume anayeishi na VVU

    Kuwa HIV+ hakumzuii mtu kuwa na vigezo vya mwenza anayemuhitaji. Haimaanishi ukiugua basi uridhike na yeyote yule hata kama hujamridhia. Kuumwa ni kitu kingine na kumpata uliyemridhia ni jambo jengi (tena pretend kama hakuna vitu vile[emoji1] ). Pambana mungu atakutimizia hitaji la moyo wako.
  13. chakor

    Mke HIV + anaitajika

    Hongera kwa kujitambua na kuwa muwazi. Karibu tuyajenge maisha
  14. chakor

    Hivi hawa wanapata wapi namba zetu?

    Niliwahi kulaumiwa eti tangu nitajirike sijawahi kupeleka shukran kwa mizimu
  15. chakor

    Wake zetu msipende kuchunguza Simu za waume mtaumia

    Nimechanjiwa muku:D:D:D
Back
Top Bottom