mbona makala yake nzuri tu! imejaa ushauri uwe mzuri au mbaya. lkn kwa akili ya kawaida hii makala haiwezi kuwa sababu ya kumfukuza mtu maana kama makala ameandika nyingi zenye ushauri mkali zaidi kuliko hii.
Tuache upotoshaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.