Recent content by chai ya moto

  1. C

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mjadala wa wachezaji 12 wa kigeni kwenye ligi kuu Tanzania bara; bado hatui tulipojikwaa?

    Nimekupigia kura,na wewe naomba unipigie
  2. C

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mjadala wa wachezaji 12 wa kigeni kwenye ligi kuu Tanzania bara; bado hatui tulipojikwaa?

    Mods naomba mnirekebishie kichwa cha habari neno hatui liwe hatujui. Kwahiyo naomba kichwa cha habari kisomeke ; Mjadala wa wachezaji wa 12 wa kigeni kwenye ligi kuu Tanzania bara;bado hatujui tulipojikwaa? Shukrani.
  3. C

    JamiiForums Tanzania Chips nyama 8000 Singida Hotelini

    Ukisafiri nunua maziwa ya pakt, maziwa ni chakula,ukinywa ni kama umekula chakula cha kawaida.
  4. C

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mjadala wa wachezaji 12 wa kigeni kwenye ligi kuu Tanzania bara; bado hatui tulipojikwaa?

    Kama kuna biashara inayolipa sasa hivi ni biashara ya mpira wa miguu na vyote vinavyohusiana navyo,hapa nazungumzia biashara kama kuuza na kununua wachezaji,kuuza jezi na vifaa vya klabu,kuonyesha mpira,vituo vya runinga vinalipa fedha ili kupata haki za kurusha matangazo,udhamini mbalimbali...
  5. C

    JamiiForums Tanzania TRA yaendelea kumkaba koo Toufiq Salum Turky kodi ya gari milioni 308.5

    Huyo ni mbunge, mtoto wa marehemu Turky aka Mr White alirithi ubunge wa baba yake baada ya baba yake kufa, yeye na wabunge wenzake wanatakiwa walitazame hilo suala la kodi. Kodi haitakiwi iwe sawa au ikaribiane na thamani ya bidhaa. Wakati wa kutunga sheria wao wanapiga makofi tu na kupongeza...
  6. C

    JamiiForums Tanzania SoC02 Soka ni biashara ni ajira ni uchumi ni utajiri lakini Watanzania tumelala usingizi wa pono

    .
  7. C

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kuomba wazo la biashara mtandaoni

    Kijana wa Kitanzania anaweza kununua simu kali lakini si kusafiri kwenda sehem kufanya utafiti wa biashara.
  8. C

    JamiiForums Tanzania SoC02 Ili tupate tija zaidi kwenye kilimo: Matumizi ya teknolojia hayaepukiki

    Hongera kwa makala nzuri,nimepiga kura.Ni aibu kubwa nchinza Kiafrika kutegemea ngano kutoka Russia na Ukraine.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Sijajua ni kwanini Marais wanapata shida kupata Mawaziri miongoni mwa wabunge wa kuchaguliwa wa CCM

    Mfumo wetu wa kupata wabunge ni mbovu mtu anayejua kupiga domo na mwenye fedha anahonga wajumbe wa CCM halafu wanampitisha wakienda kwenye uchaguzi mkuu TISS na Polisi wanawapitisha kuwa wabunge sasa hapo unategemea kupata mtu wa maana kwenye nafasi hiyo? Walihangaika kupitisha watu wenye...
  10. C

    JamiiForums Tanzania SoC01 Michezo ya kupeana hela ilivyomnufaisha Isa mchoma mishikaki wa Ufukwe wa Coco

    Issa ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi ambao kila siku wanalalamikia ajira.
  11. C

    JamiiForums Tanzania SoC01 Wizi wa Fedha za Umma: Mapendekezo ya Hatua za Kuchukua

    Naona amesimamishwa kazi.
  12. C

    JamiiForums Tanzania SoC01 Hatua zaidi zichukuliwe ili walemavu wapate elimu bora

    Kunatakiwa juhudi kubwa sana kusaidia kundi hili.
Back
Top Bottom