Recent content by Chagger boy

  1. Chagger boy

    Msaada: Format ya mtihani wa form 6 kwa PCB

    Salamu zenu ndugu zangu Natumaini ni wazima kwa uwezo wa Mungu Ninachoitaji kutoka kwenu ni ushuri pia na Msaada mkubwa toka kwenu ninachoomba kutoka kwenu ni Kwanza kabisa mm nachukua mchepuo wa science tena PCB Lakn ninachoomba kwenu ni kitu kimoja tuu NINAOMBA MNIPE FORMAT YA MTIANI JINSI...
  2. Chagger boy

    Kama CHADEMA wanaipenda Tanzania wanatakiwa kuisaport Tanzania kwa kila jambo

    Mkuu ww bado upo katka mtanzamo finyu unajuwaje kuwa CCM wanajihusisha na mauaji ya viongozi wa siasa ten wanaosem kweli mfano kifo cha waziri mkuu enzi ya nyerere alikuwa anaitwa olesendeka aliuwawa na CCM au fikir kabla ujasem sasa kama unawanauwa wanaosema kweli mbona zitto hawamuuwi mbn yy...
  3. Chagger boy

    Kama CHADEMA wanaipenda Tanzania wanatakiwa kuisaport Tanzania kwa kila jambo

    Fact unaelewa ulichoamua mm nimekaa na mkuu wangu wa wilaya alinifundish vingi ila saivi yy kaamishiwa mtwara kama unamjua anaitwa biakanwa yani alinieleza vingi kuhusu CCM
  4. Chagger boy

    Kama CHADEMA wanaipenda Tanzania wanatakiwa kuisaport Tanzania kwa kila jambo

    HAHAH najua watanzania wala hampendi kuumiza kichwa yani umeshindwa kusoma nilichokiandika na sio karatasi moja kuhusu kichwa kimebadilishwa na mods maybe waulize Ila sishangaii kushindwa kwako maana uchunguzi unasema waafrika hupenda kujifunza kwakuangalia video na sio kusoma vitabu SIO...
  5. Chagger boy

    Siri usiyoijua juu ya kuachwa kwa Diamond

    Hapa hakuna majungu sikuumbwa peke yangu duniani so itanibidi nijifunze kutoka kwako na kwa wengine just understand
  6. Chagger boy

    Kama CHADEMA wanaipenda Tanzania wanatakiwa kuisaport Tanzania kwa kila jambo

    Huwezi kuelewa shabiki ila ujui unachokishabikia Siku ukijitambua utajuwa nilichokuwa naelezea
  7. Chagger boy

    Kama CHADEMA wanaipenda Tanzania wanatakiwa kuisaport Tanzania kwa kila jambo

    Habari , Natumaini ni wazima Note Nyani akiwa anamuhazibu tumbili huwa amwangalii usoni Hvyo katika uzi huu naomba tuweke ushabiki pembeni. Nini maana ya chadema ukiachilia mbali kuwa "chadema" ni chama cha demokrasia na maendeleo. Pia unaweza kukielezea kuwa chadema ni chama cha kitanzania...
  8. Chagger boy

    Siri usiyoijua juu ya kuachwa kwa Diamond

    Samahani sana sana kwahlo
  9. Chagger boy

    Siri usiyoijua juu ya kuachwa kwa Diamond

    Kweli wajinga ndio waliwao tunatumika kumtengenezea MTU maisha
  10. Chagger boy

    Siri usiyoijua juu ya kuachwa kwa Diamond

    Mmmh atamm nakubali huo mtego umeninasaa
  11. Chagger boy

    Siri usiyoijua juu ya kuachwa kwa Diamond

    Yani ni ujinga mtupu wanafanya WCB
  12. Chagger boy

    Siri usiyoijua juu ya kuachwa kwa Diamond

    Kuhusu Shule kitamb sana hapo UMEFELI jarbu kingine mkuu
  13. Chagger boy

    Siri usiyoijua juu ya kuachwa kwa Diamond

    Uliombwa uingie unazani kwann mods walitenganish majukwa kama ww nimpenz wq tasniaa unakuja huku ila kama ww Great think unaenda huko baba kama ni sifa umebum na kiki yako
  14. Chagger boy

    Siri usiyoijua juu ya kuachwa kwa Diamond

    Ww kama sio kiherehere na ww ulifwata nn huku kama sio kujua maisha ya waty ukijifanya unajuwa think twice
  15. Chagger boy

    Siri usiyoijua juu ya kuachwa kwa Diamond

    Natumaini ni wazima Katka kitu nimekuj kushanga kwenye hii tasnia ya Sanaa Yan bila kiki huwezi kusogeza mziki wqko Kam shabiki wa damu wa mnyama diamond nilifwatia hili jambo kiundani Ila nimekuj kuona ni ujing kuchoma vocha kiangalia page za wasani wa kitanzania yani haijirudii ten yupo...
Back
Top Bottom