Siri usiyoijua juu ya kuachwa kwa Diamond

Natumaini ni wazima
Katka kitu nimekuj kushanga kwenye hii tasnia ya Sanaa

Yan bila kiki huwezi kusogeza mziki wqko
Kam shabiki wa damu wa mnyama diamond nilifwatia hili jambo kiundani

Ila nimekuj kuona ni ujing kuchoma vocha kiangalia page za wasani wa kitanzania yani haijirudii ten yupo mwana jamii forom alitoa post kuhusu kuwafollow wasanii wakibongo

Sasa tuje kwenye point ukifwqtilia toka mwanzo wa movie hyo ya masterling ZARI na DIAMOND utakuja kujua ni kiki kwasababu

1:-Diamond anajifanya ajali chchte anajifanya anapost tuzo ili watu wajue anayotuzo kwasababu anajuwa mjakesha kwenye page yake

2;-Ku boost nyimboo za wasanii wa WCB hii ndo kama lengo yani wimbo unaopigiwa kiki niwa maromboso [HASHTAG]#NIMEKUZOEA[/HASHTAG] na wa lavalava UTATULIA yani wanatumia hyo kiki kusema diamond anamwambia mama T kwamba ka miss kwa kutumia wimbo wa Mboso na zari anamjibu kupitia wimbo wa lavalava

Daaq kweli kuwa uyaone Leo nimeyaona LIVE mfn mama T anaanzaje kumuacha diamond ww tumia akili ya la kwanza diamond kampa mimba mobeto akamrudia ety kisa kukumbatiwa sijui na Wema ndo amuwache

Ila sijui ata tembo ni mkubwa ila anauliwa na sisimizi tusubiri hii movie iishe maana ashatupa muda kwamba hii kiki itaisha kabla ya mwezi huu kuisha
Just wait............!
Kiongozi ni kweli ila na wewe umempa kiki mno mondi hapo
 
Nikuume sikio tu, albamu ya Mond ipo njiani kutoka ilicheleweshwa kwa ishu za kawaida. Nyinyi umizeni vichwa kuwajadili , wanaandaa mazingira ya kuitangaza albamu hiyo
 
MTU AMBAYE ANAWAAMINI HAO JANJA JANJA AKILI YAKE HAIPO TOFAUTI NA KISANDU,DR SHIKA AU NABII FEKI TITO......JANJA JANJA NI KIKI TU WAKITOA KAZI MPYA LAZIMA WALETE MOVIE ZAO,NAO HUYO ZARI KAMA MSWAHILI UTAFIKIRI KAZALIWA KWA MTOGOLE.
 
Mimi huwa sifuatilii upuuzi wa diamond na zari,maana umri wangu hauruhusu kufuatilia ujinga
Kuna babu mmoja anakujaga ofisini kwetu, anazijua hzi story za zari na diamond mpk unaogopa,,,afu we una Sema umri,, una miaka mingapi
 
Mimi huwa sifuatilii upuuzi wa diamond na zari,maana umri wangu hauruhusu kufuatilia ujinga
TUKO pamoja..na mimi sio umri tu Bali akili yangu ndio hainiruhusu kbisa kufuatilia huo upuuzi wao
 
Nikuume sikio tu, albamu ya Mond ipo njiani kutoka ilicheleweshwa kwa ishu za kawaida. Nyinyi umizeni vichwa kuwajadili , wanaandaa mazingira ya kuitangaza albamu hiyo
kaka demu kamwaga kweli coz nimeona jana bbc swahili demu kahojiwa kasema wameachana kweli na hawezi kurudiana tena na diamond cheki bbc swahili dira tv ya jana
 
Usitumie muda wako kuangalia ya MTU, tafakari ww ya kwako yanafuatiliwa na nani zaid ya kupigwa majungu?
 
Natumaini ni wazima
Katka kitu nimekuj kushanga kwenye hii tasnia ya Sanaa

Yan bila kiki huwezi kusogeza mziki wqko
Kam shabiki wa damu wa mnyama diamond nilifwatia hili jambo kiundani

Ila nimekuj kuona ni ujing kuchoma vocha kiangalia page za wasani wa kitanzania yani haijirudii ten yupo mwana jamii forom alitoa post kuhusu kuwafollow wasanii wakibongo

Sasa tuje kwenye point ukifwqtilia toka mwanzo wa movie hyo ya masterling ZARI na DIAMOND utakuja kujua ni kiki kwasababu

1:-Diamond anajifanya ajali chchte anajifanya anapost tuzo ili watu wajue anayotuzo kwasababu anajuwa mjakesha kwenye page yake

2;-Ku boost nyimboo za wasanii wa WCB hii ndo kama lengo yani wimbo unaopigiwa kiki niwa maromboso [HASHTAG]#NIMEKUZOEA[/HASHTAG] na wa lavalava UTATULIA yani wanatumia hyo kiki kusema diamond anamwambia mama T kwamba ka miss kwa kutumia wimbo wa Mboso na zari anamjibu kupitia wimbo wa lavalava

Daaq kweli kuwa uyaone Leo nimeyaona LIVE mfn mama T anaanzaje kumuacha diamond ww tumia akili ya la kwanza diamond kampa mimba mobeto akamrudia ety kisa kukumbatiwa sijui na Wema ndo amuwache

Ila sijui ata tembo ni mkubwa ila anauliwa na sisimizi tusubiri hii movie iishe maana ashatupa muda kwamba hii kiki itaisha kabla ya mwezi huu kuisha
Just wait............!
Stupid boy
 
Back
Top Bottom