Watu wengi mbinu za ngumi hawajui na hapa ndo kilimponza Tonny Rashid alipocheza na Mahlangu pambano la kwanza .
Licha ya kuongoza round zote akataka ang'!ang'anize KO ,kilichotokea watu wote tukamuona hana akili kwa kutafuta sifa ambazo zilimgharimu.
Tena tusisahau ngumi moja tu inaweza...
Mkuu huo uzuri unouona ndo mimi siuelewi au vipi ? Boxing sio mchezo wa nguvu tu unahitaji akili nyingi na hicho ndicho kidunda alimzidi Katompa .
Boxer's wa sasa hivi ni wajanja anahesabu rounds kadhaa akiona amekuwin anaanza kuruka ruka kama alivyofanya kidunda .
Sasa ubaya watanzania walitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.