Sisi tu
Mbona tunawajua wengi mumesusa kurudi home baada ya kuwaona mliowacha bongo wamewapiga gape la kimaendeleo. Mfano mdogo angalia kariakoo,magomeni,ilala,Tandika,Temeke,Tanga mjini, Dodoma mjini etc,minara ya magorofa yanayopanda wengi ni wabongo mliyotuacha hii inaleta hasira. Bora...