Recent content by CHADEMA Mpya

  1. C

    JamiiForums Tanzania Mikutano ya Zitto na Dr Slaa - Zitto apata mamia, Slaa apata makumi

    Baada ya Zitto kuvuliwa cheo cha Unaibu Katibu Mkuu baadhi Wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA walikuwa wakibandika Mabandiko mbalimbali kwenye mitandao wakidhani wao ndio ma opinion makers. Tangu ziara za Zitto zianze wote wamekimbia kwenye mitandao tayari kuvaa vyeo vyao na heshima zao za Ujumbe...
  2. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Kwani CHadema wanawatafuta watu gani katika harakati zao? Nadhani ni WanaCCM. Kama ameweza kuwakusanya wanaCCM wengi namna hii kumsikiliza basi anafaa kuongoza Chama maana ana mvuto. Misahafu inasema wenye afya hawahitaji daktari bali walio wagonjwa.
  3. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Mbowe na Slaa pia wanawapenda wanaCCM ndio maana kwenye mikutano wanatambua uwepo wao na hata Sabodo anawaunga mkono. Wanademokrasia hawabaguani kwa vyama wanapima hoja na kutetea hoja bila kujali itikadi zao na ndio wito kwa Watanzania wote kuelekea uchaguzi Mkuu. Mkutano wenye wanaChadema peke...
  4. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Atleast umetambua kuwa ana elimu. swala la matumizi inategemea kipimo chako unachotumia na mtazamo. Kibaya kwako kwa mwenzio kizuri. Hata wewe wako wengi hawapendezwi na tabia zako. Hata mimi sipendezwi nayo
  5. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Mbona wewe pia nakuona ni msaliti tu! Usaliti ni dhana tu! Hauna standards za kuupima! Hata unaowaamini kuna watu wanawaona wasaliti vilevile. Kwa hiyo wewe ni mchina sio? Demokrsia ni wazo la western kama unavyosema na kama tumekubali kufuata huo mfumo then we have to obey and maintain...
  6. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Huko Arusha na Moro kuna bwana ako nani alipoteza damu huko? Au wewe ulipoteza? Dont compare incomparable
  7. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    How about conservatives analysis!!? Then put your self in democratic analysis then conclude wisely. Mhafidhina mchanga wewe!
  8. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Na yeye ni Chadema ndio maana. Au unafikiri Chadema ni unaowapenda tu! Chadema ni taasis ina kila mtu ndani yake. Dont personalize the party for your interest
  9. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Mimi naamini chanzo cha vurugu katika siasa za Tanzania na Afrika ni walioko madarakani kung'ang'ania madaraka na ndio hicho hicho kitakacholeta vurugu kwenye Chama chetu sio Zitto. Jadili misingi sio watu
  10. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Una imani haba na potofu. Umaskini umesababishwa na uminywaji wa demokrasia nchini sio Zitto.
  11. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Jibu lako liko katika swali nililokuuliza. Ukijibu utapata jibu lako. Ndivyo walivyofanya mitume na manabii. Umesahau habari ile ya je halali kumlipa kodi Kaisari? ilivyojibiwa?
  12. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Last the did in Afghanstan and they are doing all over
  13. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Zote unazozijua wewe! Wewe una damu gani?
  14. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Bendera moja ndogo inauzwa Tsh 3500/= kubwa 15,000/=. Kazi ya Bendera ni kutangaza Chama hasa mahali ambapo hakipo. So it was unnecessary budget.
  15. C

    JamiiForums Tanzania PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    Taasis ni nani? Taasis iko pale pale. Huu ni mpambano kati ya Wanademokrasia na Wahafidhina wenye lengo la kuiimarisha taasis. Usiipersonalize taasis kwa wanaokuvutia. Taasis ni ya wote. Kitila ni Mwanamkakati so yuko behind screen. Kwanini akaanzishe Chama wakati amechangia mafanikio ya Chama...
Back
Top Bottom