kiangara ni mbali kidogo kutoka liwale mjini .network IPO nauli elf tano kwenda mjini.uchawi Mimi sijauona ..wilaya IPO kawaida kama wilaya zingine za pembezoni.kama umezoea maisha ya dar utapata tabu kidogo...Mimi nipo huku Mwaka wa Tatu cjawahi kurogwa wala Kuona mauzauza..cha muhimu epuka...
naomba Masada cm yangu aina ya tecno p5 inatatizo nikiiwasha inawaka ila hairespond chochote Kisha inazimika na kubaki na maandish techno nimejaribu kutoa memori card ikakubali kufanya kaz ila program nyingi zipo kwenye card nifanyeje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.