Imetosha Sasa! Watanganyika Tuanze Maandamo Ya Kudai Haki Ya Tundu Lissu.
Tundu Lissu amekuwa mahabusu Ukonga kwa case ya uongo ya treason. Raia wote tunaelewa ni hujuma za Samia kumuumiza Lissu ili Samia na CCM yake waendelee kupora rasilimali za watanganyika. Samia amejiapisha kuwa Rais wa...
http://2.bp.blogspot.com/-t_Ap7PAa7-I/Um_y6jK6QKI/AAAAAAAAvCw/pswUfttoSwA/s640/12.jpg, uploading ya picha inachukuwa muda mrefu saana! zionne hapo mkuu!
Buhabu unaweza elezea nini kilitokea Serengeti Miaka hiyo ya 1970-1995? Nina kiu ya kujua kuhusu wilaya hii, najua tu kidogo mauaji yaliyosababishwa na Dc aliyejulikana kwa jina la Ole Sabaya, alichomea raia nyumba maeneo hayo na kuwafukuza/kuwahamisha kwa nguvu! Hiyo ilifanyika miaka ya 2000-2003.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.