Maisha ni akili na neema zake mungu, sidhani kuna mtu anaweza nunua simu ya laki saba au million hali hajui kesho itakuaje! Wengine ni zawadi tu, ,pia smart phone ni muhimu utatembea na TV muda wote? Smart phone inakupa habari muda wote na mahali popote, mwenye kutaka kuitumia kwa faida atatumia...
Aisee Magufuli jitahidi urudishe hizi fedha, pia vyema kwa kudhibiti maadili maana yalishapitea baada ya kifo cha baba was taifa, wenye madaraka walikuwa wanajiamulia tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.