Mkuu Synthesizer,
Nakubalina na wewe kwa yote uliyoyaandika lakini napinga ushauri ulioutoa kwa watumiaji wa Automatic Gear Box Cars kwamba wanapaswa ku-downshift from D to 2 na ku-switch off Overdrive. Siyo kweli kwamba ukishift gear selector from D to 2 na kuswitch off overdrive gari...
Tochi zinanifanya madereva wawe na stress muda wote wanapokuwa barabarani. Mfano inapotokea bahati mbaya Dereva akamuona mtu kwa mbali amevaa nguo nyeupe (mfano mtu aliyevaa kanzu) haraka dereva anaanza kupaniki akijua ni Trafick mwenye tochi. Hali hii inapelekea madereva kuanza kufunga mabreki...
Nadhani kuna haja sasa kwa SUMATRA kuhakikisha kuwa only ABS equipped buses zinaruhusiwa kubeba abiria ili kuepuka wheel locking during brake application.
Cc: TCleverly, Goodrich, RRONDO, nk
Una uhakika lilikuwa Basi la Muro? Maana hadi mtoke Arusha na mfike Ruvu mabasi yote ya Muro yanakuwa yamepita Ruvu kwa sababu yote yanaenda safari za mbali na hivyo huondoka asubuhi ya saa 12 kamili Ubungo. Anyway labda kama lilikuwa linaenda kufaulisha gari nyingine iliyoondoka asubuhi Ubungo..
Kwani Mkuu inapotokea hiyo emergency nyumba ya kupanga ipo hiyo moja pekee?? Nyumba si zipo nyingi! Atahamia nyingine na maisha yanaendelea kama kawaida. Naungana na mtoa hoja mmoja aliyesema kwa maisha ya sasa hivi kukimbilia kujenga wakati huna stable cash flow ni kuzika mtaji.
Nampongeza na namuomba sana tena sana aziache kama zilivokuja 2x2. Asije akazibadilisha kama zile marcopolo alivyozifanya 2x3 wakati zilikuja zikiwa 2x2.
Mkuu kama tatizo ni Front Brake Solenoid (P1757) basi TCM ni nzima. Front Brake Solenoid Valve ipo kwenye Valve Body ya gear box na kazi yake ni ku-shift gear ratio. May be utufafanulie ukiendesha inakuwaje??
CC: humbleguy, nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.