Recent content by Chabo

  1. C

    Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

    Shukrani kwa elimu ndugu..Mungu akubariki sana
  2. C

    Mabinti mliomaliza form six

    Wivu ni mbaya sana
  3. C

    Kwanini mtu wa Dar anachanganyikiwa ukimwambia unaenda kumtembelea?

    Ni kweli watu wengi wa Dar hatupendi wageni kwa sababu zifuatazo:- 1.Watu wengi hatuna muda wa kukaa nyumbani,kila siku tuko bize kutokana na nature ya jiji hili,hivyo mgeni ukija ni usumbufu kwa kuwa mgeni anatakiwa apewe muda wa kuwa nae. 2.Mikoani huwa tunajipa/mnatupa status ambazo ki...
  4. C

    KERO Mwendokasi ni zaidi shida Mbezi na gerezani ni mateso tuu iwe asubuhi na jioni utadhani tupo Pakistan

    Mkuu,kuna vipikipiki vya kuchaji siku hizi,bei chee tu.hutajuta ukiwa nayo.
  5. C

    NAHITAJI HOMETHETRE

    Ninayo Sony Dav DZ950 nilinunua Mwaka 2021...inataka laki 759000.
  6. C

    Shida zilipokubana uliwahi kuuza kitu gani kwa bei ya hasara ili ujinasue?

    Staili hizi hizi za kuuza kitu kwa shida ndio zinatuumiza wengi tunaodhani kila anayeuza kitu kwa haraka anashida,wengine ni matapeli.mimi niliuziwa simu kali kwa bei kitonga kwa madai eti muuzaji anashida..ooohoo kumbe ni jumba bovu nimedondoshewa,baada ya wiki nikapewa kesi simu iliibiwa K/koo...
  7. C

    Tuchemshe bongo kidogo

    138
  8. C

    Jamani ni duka gani ambalo ni maarufu lina hadhi ya kuuza simu original za Samsung? maana vishoka ni wengi

    Achana na Samsung,nunua simu za Xiaomi, Redmi Note 13 ni Zaidi ya Samsung A55.
  9. C

    Fahamu jinsi ya kuchagua TV nzuri itakayokufaa kabla hujanunua

    Kuna tofauti kubwa sana ya kimuonekano wa picha baina ya tv na tv...kuna tv ukiangalia tukio ili ujue ni kitu gani unaangalia inabidi uwe na utambuzi binafsi..lakini tv ikiwa nzuri unaona kila kitu hadharani sio kwa kukisia
  10. C

    Tuliowapoteza mama zetu ,tunawasihi sana muwapende wa kwenu kama bado wako hai

    Kama unamkumbuka mamaako kiasi hiki na wewe ni mtu mzima mwenye Familia!,basi mwenza wako ana kazi kweli kweli!!
  11. C

    Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

    Msichana wa kazi ukimlipa 50000 na ukawa unaishi naye kama anajitambua anauwezo wa kusave kila mwezi 40000 jumlisha marupurupu ya chenji na tip za hapa na pale.
  12. C

    Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

    Usichokijua ni kwamba hiyo 50000 ni sawa au zaidi ya laki tatu kwa mwezi,imagine chakula,Mavazi,Malazi na kumuuguza ni juu yako.niambie ni nani anayelipwa 300000 kwa hapa mjini (Dsm),ambaye anajitegemea kwa nauli,kodi ya chumba,chakula nk.mwenye uhakika wa kubaki na 50000 kila mwezi!...matumizi...
  13. C

    Biashara ndo zinachangamoto hivi aisee? Msaada tafadhari

    Chakufanya ni kuondoa wenge la mauzo kwenye biashara,mteja akikupa hela hakikisha hazirudi kwake mpaka mtakapokubaliana kuwa hakuna biashara baina yenu itakayofanyika..kinyume na hapo utalia Daily
  14. C

    Biashara ndo zinachangamoto hivi aisee? Msaada tafadhari

    Na ukitaka kuamini hii mbinu mfanyie mtu unayefamiana nae utakuja kunipa majibu..wafanya biashara wengi wenye wenge huwa wanapigwa kwa style hii.kwa kuwa hawanampango wa kuhakikisha malipo mara mbili.
  15. C

    Biashara ndo zinachangamoto hivi aisee? Msaada tafadhari

    Hakuna kitu kinaitwa chuma ulete kwenye biashara,huwezi kuibiwa pesa kimazingara bila kuitoa mwenyewe pasipo kujua..kinachotokea huwa mara nyingi ni wenge la mfanyabiashara ndio linatumika kumuibia..kinachofanyika ni kwamba.unakuta mtu amekulipa tayari malipo yako halafu anajifanya amekuzidishia...
Back
Top Bottom