Ni kweli watu wengi wa Dar hatupendi wageni kwa sababu zifuatazo:-
1.Watu wengi hatuna muda wa kukaa nyumbani,kila siku tuko bize kutokana na nature ya jiji hili,hivyo mgeni ukija ni usumbufu kwa kuwa mgeni anatakiwa apewe muda wa kuwa nae.
2.Mikoani huwa tunajipa/mnatupa status ambazo ki...
Staili hizi hizi za kuuza kitu kwa shida ndio zinatuumiza wengi tunaodhani kila anayeuza kitu kwa haraka anashida,wengine ni matapeli.mimi niliuziwa simu kali kwa bei kitonga kwa madai eti muuzaji anashida..ooohoo kumbe ni jumba bovu nimedondoshewa,baada ya wiki nikapewa kesi simu iliibiwa K/koo...
Kuna tofauti kubwa sana ya kimuonekano wa picha baina ya tv na tv...kuna tv ukiangalia tukio ili ujue ni kitu gani unaangalia inabidi uwe na utambuzi binafsi..lakini tv ikiwa nzuri unaona kila kitu hadharani sio kwa kukisia
Msichana wa kazi ukimlipa 50000 na ukawa unaishi naye kama anajitambua anauwezo wa kusave kila mwezi 40000 jumlisha marupurupu ya chenji na tip za hapa na pale.
Usichokijua ni kwamba hiyo 50000 ni sawa au zaidi ya laki tatu kwa mwezi,imagine chakula,Mavazi,Malazi na kumuuguza ni juu yako.niambie ni nani anayelipwa 300000 kwa hapa mjini (Dsm),ambaye anajitegemea kwa nauli,kodi ya chumba,chakula nk.mwenye uhakika wa kubaki na 50000 kila mwezi!...matumizi...
Chakufanya ni kuondoa wenge la mauzo kwenye biashara,mteja akikupa hela hakikisha hazirudi kwake mpaka mtakapokubaliana kuwa hakuna biashara baina yenu itakayofanyika..kinyume na hapo utalia Daily
Na ukitaka kuamini hii mbinu mfanyie mtu unayefamiana nae utakuja kunipa majibu..wafanya biashara wengi wenye wenge huwa wanapigwa kwa style hii.kwa kuwa hawanampango wa kuhakikisha malipo mara mbili.
Hakuna kitu kinaitwa chuma ulete kwenye biashara,huwezi kuibiwa pesa kimazingara bila kuitoa mwenyewe pasipo kujua..kinachotokea huwa mara nyingi ni wenge la mfanyabiashara ndio linatumika kumuibia..kinachofanyika ni kwamba.unakuta mtu amekulipa tayari malipo yako halafu anajifanya amekuzidishia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.