Habari Jf,
Hapo katikati niliwahi kupost maswahibu yangu na mpenzi wangu wa zamani. Kuna kitu kinanitatiza sn naombeni mawazo yenu though i might sound weird.. Ni hivi wkt tupo kwenye mahaba motomoto na mpenzi wangu wa zamani tuliwahi kufanya kiapo cha damu.
Tulijikata vidole tukagusanisha...
oh mamy umeugusa moyo wing am in the same situation mbaya zaidi mm bdo cjapata ujasiri wa kutomtafuta. I wish I wish nimtoe moyon nateseka mnoo dah wanaume hawa
Habari wana jf. Naombeni ushauri wenu kwani nipo njia panda na maumivu makali mno moyoni. Mm ni binti nilikua na mpenzi wangu tumedumu miaka 4 na mwaka Jana mwishoni alikuja hom kwa wazazi kujitambulisha but suddenly mwaka huu January alibadilika sana na akanipiga stop kwenda kwake akinidanganya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.