Recent content by chaashe

  1. C

    Watanzania fungueni mioyo yenu, mpokeeni 'Mkombozi', walimtesa, wakamsulubisha, siku ya 3 imewadia!

    Kumkalibisha huyo huku ni kuuwa upinzani hata Mimi nitarudisha kadi ya chadema endapo nitasikia ndie mgombea wa chadema
  2. C

    Hatimae mpambano wa CCM na Mh Lowasa umewadia.

    Wacha tuone hao ni mafahali wawili
  3. C

    Inakuwaje mwanao mdogo, kuitwa mchumba nawe unachekelea tu?

    Mimi ni mzazi ukweli nakelwa na hill una uta mtoto anaitwa hivyo ukimtazama mtt usoni anaonyesha kukasirishwa na hilo lakini atafanyaje? Unakuta limzazi nalo bila kujali mtoto wake kua hapendi linaanza kuita Mkwee, mkwee. Kesho motto kabakwa kelele. Wazazi tukemee hilo
  4. C

    Wanawake mwalimu wao kipofu: Msemo huu una maana gani?

    Lara 1 anamajibu maana anapenda kutumia usemi huu. Lara1 tupe majibu pls
  5. C

    Usicheze cheze na tendo la ndoa

    Naunga mkono hoja
  6. C

    Je ilishawahi kutokea kwako?

    Which Paul jestina? You mean Me?
  7. C

    Mke wangu amenizidi mshahara

    Weweeee pumbafu mvivu wa kufikili
  8. C

    Picha: Jihadharini na huyu tapeli

    Chinnekemeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
  9. C

    Way to build a bigger, wider and longer penis quickly at home

    Kitu muhimu cha kukuza ni uwezo wa fikra za kupata fedha mengine ni mbembe 2
  10. C

    Jisahiishe kimapenzi mwanamke kwa kufata aya

    Nukta si hoja ujumbe ni moto mbaya kabisa mkizingatia hayo hakuna wa kubaki nyumbani. Big up mleta mada kwa utafiti wako
  11. C

    Fursa nyingine kwa miss chaga

    Haya bana wengine wanatamani
  12. C

    Wadada mpooo?

    Pole yako Kama upo Dar nenda ambians au kona bar, Kama ni arusha nenda shivas au mrina annex, Kama upo moro nenda kahumba au moro night pub au itigi, kama ni Dodoma nenda chako ni chako. Maeneo hayo yanakuhusu wewe mwenye shida hio
Back
Top Bottom