Recent content by cha unoko majuu

  1. C

    Kumbukizi: Video ya Paul Makonda akimnanga Mzee Edward Lowassa

    Simpaka wawe na aibu. Ukiwaangalia vizuri wanazo!
  2. C

    Makonda: Wananchi masikini msikimbilie mahakamani, kuna rushwa! Watumieni viongozi wa Serikali kutatua shida zenu

    Labda huyo Jaji, Hakimu, Dipipi kama hawajitaki. Maza ameshagundua watendaji wake hawawasaidii wananchi wa hali ya chini ambao ndio wengi. Wee mpaka Maza anampigia simu Makonda laivu mkutanoni huoni kuwa anafurahishwa na ayafanyayo. Ziara ya Makonda imelidhihiria taifa kuwa hawa viongozi wa...
  3. C

    Miaka 100 baada ya kifo chako, utazaliwa kwa mara nyingine ukiwa na mwili mpya

    Mia ni mingi tuombee ipunguzwe angalau iwe mitano jamani!
  4. C

    Kada aliyefukuzwa kwa kutomheshimu Rais Mwinyi adai kuna jambo linafichwa kujiuzulu kwa Waziri Simai

    Halafu wanashangilia na kutangaza Chadema kuna mgawanyiko. "toa boriti kwenye jicho lako kwanza kabla ya kulaumu kibanzi kwenye jicho la mwenzio"
  5. C

    John Mnyika ana elimu gani? Uwezo wake wakujibu hoja unatokana na mafunzo ya maprofesa wa bongo au akili za kuzaliwa?

    Unatuuliza sie siuende Ufipa au nyumbani kwake ukaonane nae umuulize. Usitutafute undani chawa weye!
  6. C

    TANESCO kuanza uunganishaji Mitambo kutoka Bwawa la Nyerere (JNHPP)

    Unganisheni hata kwenye bwawa la Karume pumbavu kabisa nyie tumechoka na porojo zenu! Kenge nyie!
Back
Top Bottom