Labda huyo Jaji, Hakimu, Dipipi kama hawajitaki. Maza ameshagundua watendaji wake hawawasaidii wananchi wa hali ya chini ambao ndio wengi. Wee mpaka Maza anampigia simu Makonda laivu mkutanoni huoni kuwa anafurahishwa na ayafanyayo. Ziara ya Makonda imelidhihiria taifa kuwa hawa viongozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.