Recent content by cha mtu mavi 2

  1. cha mtu mavi 2

    Wakazi wa Mbagala na tabia za ajabu ajabu

    Lkn mbagala hakuna mashoga Kama sehemu zingine naisi kwasababu awali vitu vya supermarket Kama uko kwenu
  2. cha mtu mavi 2

    Maisha ya Zero IQ na haso zake za kila siku

    Big up Sana kwa kukomaa hivyo mdogo wangu sote tumetokea uko
  3. cha mtu mavi 2

    Wenye madeni makubwa na hatujui tutayamalizaje tuliwazane hapa

    Mi nilipo sijielewielewi yaani Nina Deni kubwa kwa upande want biashara imefeli mpk vyanzo vingine vya mapato vimekata na Kila tarehe 3 marejesho mpk Leo hii sijafikisha hata laki katika 4,800,000/= nimetoka home mapema alfajir lkn nastuka Sasa ivi nipo kituoni tu sijui naenda wapi?
  4. cha mtu mavi 2

    TAASISI ZITOAZO MIKOPO YA MIKATABA YA UJENZI

    Banki ya watu wa Zanzibar ndio inatoa huduma izo lkn uwe na vigezo nenda tawi lolote la benki hiyo utapata maelezo
  5. cha mtu mavi 2

    Kwa umati huu wa wananchi kwa CHADEMA kuhitimisha kampeni za ubunge Jimbo la Ukonga ni dhihirisho la kuchokwa kwa CCM nchini

    Lkn hao wote ni wakazi wa ukonga na wanasifa za kupiga kura sio ikawa watu wametoka kimara na mbagala wanajaza uwanja uchaguzi ukipita matokeo yakitoka tunaanza lawama
  6. cha mtu mavi 2

    TFF waangalie huu upangaji wa Ratiba

    Upo sahihi maana round ya pili tutajikuta tupo mikoani mfurulizo
Back
Top Bottom