Recent content by Cgy

  1. C

    JamiiForums Tanzania Waziri kujitokeza na kujibu hoja za CAG Kwamba Kama ni kweli utavua nguo hapa umeonyesha udhaifu

    Watu Kama nyie sijui mko kundi gani,hata kuku anauwezo mkubwa wa kufikiri kuliko wewe. Jitathmini sana.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Wanaotaka kwenda kutazama fursa Comoro bas meli ipo inapakia sasa

    Mleta mada nimekuelewa sana,watanzania ni wavivu wa kufikiri sana wanataka uwaambie ni meli gani na wakati gani inaondoka ili watu wakakamatwe ili hali wanajua hizo ni mishe za watu mjini
  3. C

    JamiiForums Tanzania Ni route gani nzuri kubebea abiria kwa Noah hapa Dar?

    Acha kukariri,siyo kila mtu kapita shule.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Natafuta eneo la kujenga fremu ya biashara

    Natafuta Eneo ambalo naweza kujenga frem Arusha. Bajeti yangu siyo kubwa sana hivyo lilkiwa katika barabara za ndani siyo mbaya.
  5. C

    JamiiForums Tanzania Viwanja vinauzwa vipo msumi kwa bundala

    M
  6. C

    JamiiForums Tanzania Barua ya kuachishwa kazi imeniharibia siku kabisa leo

    Mkuu unaweza kunielekeza hii biashara,kama vp naomba uniunge na hao washkaji zako mkuu
  7. C

    JamiiForums Tanzania Biashara ya madini Arusha

    Ukiwa na million mbili unaweza kufanya hii biashara mkuu
  8. C

    JamiiForums Tanzania Hali ya zao la Korosho sokoni

    Sijaelewa mkuu,naomba unifafanulie kidogo
  9. C

    JamiiForums Tanzania Nauza miche ya papai mbegu fupi

    Unaweza kunisaidia mazingira gani papai linastawi? Lindi linaweza kustawi?
Back
Top Bottom