Kwanza pole na majukumu ya siku nzima!
Wadau katika kilimo nimeamua kujiwekeza katika kilimo cha papai nilinunua mbegu za pakiti na za kisasa miche niliiweka shambani tarehe 20/12/2019 sasa yamefikia hapa nimeweka mbolea mara 2 tu APK.
Sasa naomba wazoefu mnipatie ushauri na maelekezo kitu...
Nakushauli hiyo pesa tafuta mtu anayeenda China au Dubai mwagize smartphone used Kama iPhone 6na 6+ au Samsung kama hiyo pesa unaweza ukaletewa hata 6pc au zaid itategemeana zikifika zitangaze kupia magroup ya biashara ya Facebook , Whatsapp, Instagram nk utakuwa ukipata mteja anafuta mwenyewe...
Naombeni mnieleweshe mliowahi kufika Pemba nahitaji kwenda huko kununua vifaa vya umeme used kama laptop na simu. Swali langu kwenu: Zile boti zilizo pale Posta ya Zamani zinazoenda Zanzibar kule zinaenda kushushia Zanzibar ipi?
Naomba nijue kama zinashushia Pemba au hapana, na kama siyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.