kwa taarifa nilizonazo,ni kweli kwamba hawa viumbe wapo na inasemekana teknolojia yao iko juu,kuna hata shuhuda mblmbl..nchini marekani watu kadhaa tofauti wamekaririwa wakisema wamekutana na hao viumbe kla mmja kwa wakt wake,na kwa video za satellite zinazotumika kimeshaonekana kimoja kikipita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.