Nimekuelewa ndugu, unasema kweli , lakini sasa wewe umejifunza nini ? Ninamaanisha, Denish, Wa china, Wazungu, wao wote, watapita, wewe vipi utabadilika mambo kwa ajili ya watu wako weusi ?
Wewe ni mtu mzima, si mtoto wakati wa ukoloni, si mchina au danish kuamua kwako.
Don't be like those...