Inamaana aliwatumia pesa kwa kupigiwa au kwa ujumbe?
Kama ni hivyo rekebisha yafuatayo.
Asitume pesa kwako bila simu yako wewe ya kuongea 2.weka namba yako ya private yaani yako na wafanyakazi wako na ujipe jina lako la siri mfano(Tigger) that means hata mwizi aje vipi wafanyakazi wasiposikia...
"The History will absolutely Me" haya maneno aliyasema Fidel Castrol miaka ile ....Leo tena tunayashudia kweli bado tunanafasi ya mageuzi makubwa ya kiutawala kwa siku sijazo.
Lengo ni kuokoa uhai wa binadamu hizo ambulance kama zimechelewa haisababishi majeruhi kuchelewa hospitali.
Hata mjamzito anaweza kujifungulia kwenye gari wakati anawahi labour.
Acha siaasa na kuona kila kitu ni kosa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.