Hii nayo n mihemko vile vile...shule za private tumezoea kuckia wanafunz wao wameenda likizo nchi fulan..watoto wanakula vizur..umeme ukikatika jenereta linawaka...walimu wengi tena mahili...sasa hiyo laki tatu itatosha nn...hii ilitakiwa ichukuliwe kama challenge serikal ifanye mabadiliko kwe...
Sheria za kaz ziko wazi kabisa na zinatoa miongozo thabiti ya namna ya kuwawajibisha wafanyakazi..kitendo alichokifanya makonda kinapaswa kulaaniwa na mtu yeyote anaeamin katika utawala bora wa sheria..nafikir makonda hana weledi katika masuala ya utawala...ni vizur watu wanaoteuliwa kuongoza...
Nafikir huko n kutafuta sifa kijinga...kulowana ikiwa mwamvuli upo Haina maana Na nikukosa utashi wa kibinadamu...alifanya vyema sana kuwatembelea lkn hovyo sana kukataa kutumia mwamvuli..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.