Inaniuma sasa sasa,tena mno pale mke anafikia hatua ya kulazimisha niondoke,nimwachie watoto wake(eti wake) awalee mwenyewe,
Unamweleza tena kwa upendo na upole kuwa watoto bila wazazi wawili si watoto kamili,basi anakuona king'ang'anizi.Anaamua kuwahamisha watoto nyumbani(nyumba ya kupanga) ili...
Ukwel hali ni mbaya,tunateswa,,
mimi sawa sina nguvu, lakini napimiwa kwa wiki mara moja tena anakupa huku kanuna!
Sawa pesa sina kwasasa,lakini je kweli hakuna mambo niliwahi kukufanyia??
Sawa sipo romantic,je wewe unefanya nini kuni-turn on??
mnazungumzia 50/50 lakini likija suala la...
Daa hata serikalini kwa hawa wenye vima vya kuanzia ni taabu tupu,mtu unatakiwa utokee kila siku ukiwa nadhifu,bado nauli na unakuta mtu kafanya kazi miaka 8+ bado habakiz 500,000/-.Huwa najiuliza sana hivi serikali inajua kuwa kila mtu anatakiwa aishi s chini ya 10,000/- per day!
Bado alipe...
Daa nina makosa hadi najiona paka,,
Kuchagua kutanyia kazi wilaya ya nyumbani(unaogopa kuchanganyikana)
Kujiunga vicoba,saccos
kuoa kwa kuvuta/pasi kushirikisha
kuoa mapema
Kukopa pesa ndefu
Kubeti pesa ndefu tena kwa wachina(mbaya mnoo)!!
Kumpa uhuru sana mwanamke(mke wangu)
Kukubali...
Daa binafsi naanza kuhisi kitu siyo cha kawaida(kizuri/kibaya) kwa sisi tuliozaliwa machi&Aprl.
Mi pia nilizaliwa 31/03/....
lakini katika docs zangu huwa natumia 01/04/....(naomba pia mnishauri kama ni mbaya kiroho/kidunia,,,
Basi bwana,pia binafsi napitia kipindi kigumu kama mtoa mada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.