Ila nchi hii mpaka ikombolewe itchukua muda kweli. Yaani mtu, binadamu mwenye akili timamu anawezaje kushabikia eti mikutano ya hadhara ya vyama pinzani kuzuiliwa? Ama kweli vilaza ni wengi kuliko tunavyofikiria. Japo tumeficha ID zetu lkn tunaonekana tulivyo kupitia hata maandiko yetu.
Si kwmba tumechoka na misaada sema tumechoka kufikiri tunadhani kuonea watu ni ujanja. Kama ww si kilaza hebu niambie una faida gani ya kuishi hapa Tanzania kama huruhusiwi kutoa maoni yako na mawazo yako ambayo yapo kikatiba kisa tu kuna sheria ya mitandao. Acha ukilaza fungua akili ndugu.
Tatizo umemponda kichwa hatuwezi kujua kichwa kilikuwa kinafananaje. Kwa ufupi nyoka wenye sumu kali wana vichwa vya pembetatu na wasikuwa na sumu wana vichwa vya mviringo.
Ktk wapuuzi anao ongelea Jenerali nafikiri ww ni mmoja wao. Kuna theory moja nafikiri ni ya somebody Jeriko Nyerere kwamba kama ukiona matendo na maneno yako watu hawayaelewi mshukuru Jah, lkn siku ukiona wameanza kukuelewa jitafakari ulipo anguka maana umeanza kufikiri kama wao.Kitu kama hicho...
Acha ushamba ndugu yangu uvivu wala si sifa ya kuja kuutangazia umma hapa! Unapaswa kufanya bidii kufanya usafi wako na mazingira yako hata kama una mfanyakazi ina maana hata nguo zako za ndani akufulie? Shame on you guy! Ukitaka umuue Mjapani bila sumu mwambie yeye ni mvivu na ndio maana nchi...
Kwa kweli inabidi operation ondoa Viroba Tanzaina ifanyike! Huyu nayesijui kapewa vingapi ili alete upuuzi huu hapa jamvini. Ama ukistaajabu ya Lowasa utaona ya Ngeleja!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa mara ya kwanza kata yote ya Mihingo wilaya ya Bunda kwa Wassira vijiji vyote vinne, vitongoji karibu vyote vimeangukia Chadema.Nasema kwa mara ya kwanza kwa sababu haijawahi kutokea toka nchi hii iingie katika mfumo wa vyama vingi. Ama kweli ESCROW imesaidia sn kuwatoa kamasi hawa mburura...
Sijakupata vizuri mkuu, eti CCM watoka hadharani wafanye nn? Watu wako busy na biashara tena watoke nje waje waharibu mambo! Ama kweli kutaka kumwambia mtu wa CCM kusema asicho kiamini na kutenda asichokisema ni sawa na kumtongoza mama mkwe mchana kweupe bila chembe ya pombe kicwani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.