Recent content by celin

  1. C

    Maswali kumi kwa Edward Lowassa na Wafuasi wake

    Mumuache lowasa jamani.bora afanyie kazi gedha alo iba kama nikweli.kuliko hawa wengine badara yakufikilia maendelo wanafikilia kuiba so maendeleo yatakuo taratibu.au nisawa najambazi sio miakayote ataiba kuna muda utafika ata tumia ile elayake kufanya maendereo nasio kuangaika kujieweka atalini...
  2. C

    Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Kwahiyo tanesiko hawajasikia ya muongo jana kwamba msikate umeme nyooooooooooooo ndo maana mnaibiwa
  3. C

    Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Tanesco wamesha kata umeme sina pakuwacheki tena.
  4. C

    Fastjet vipi tena

    Polen msilazimishe safari. Msije mkapotelea angani kwa kulazimisha kusafiri nasikia ndege moja mbovu sasa hizo mbili inabidi kufidia root ya mbovu
  5. C

    Viduka vya Airport

    Kobe kule airpot kuna maduka ambayo yanakatwa kilakukicha mfano kama ww nimsafiri ukiwa unaingia internation dep pare final security kuna kiduka wamesha kiongeza ambacho wamebana eneo na wasafiri kukaa au get namba 5 pale mlangoni tena wamekata kidukakingine.mimi sikatai maduka ila yaendane na...
  6. C

    Kwani mwakyembe yupo kwenye bunge la katiba?

    Mwakembe ananiboa na viduka vya airport ambavyo kila kikukicha vinajengwa na kuzidi kubana nafasi sijui haoni hili.au ndo utendaji bora
  7. C

    Viduka vya Airport

    Nini hakieleweki hapo
  8. C

    Viduka vya Airport

    Airpot kuna maduka ambayo yanakatwa kila kukicha mfano kama ww nimsafiri ukiwa unaingia internation dep pare final security kuna kiduka wamesha kiongeza ambacho wamebana eneo na wasafiri kukaa au get namba 5 pale mlangoni tena wamekata kiduka kingine. Mimi sikatai maduka ila yaendane na eneo...
  9. C

    Uhamiaji wametoa majina ya wakaguzi wasaidizi

    Asante nimechemka wacha niangalie pengine cz ndo mitiani.
  10. C

    Uhamiaji wametoa majina ya wakaguzi wasaidizi

    huju jamaaa kama nimzushi na araniweeeeeeeeeeeeeeeeeee
  11. C

    Uhamiaji wametoa majina ya wakaguzi wasaidizi

    Naomba nipigie majina yanayo anza na n
  12. C

    Uhamiaji wametoa majina ya wakaguzi wasaidizi

    Tuwekeeni basi humu majina cz tupo mbali na magazeti
  13. C

    Serikali yaamriwa kuanzisha mchakato wa mgombea binafsi, ni baada ya Mtikila kushida kesi

    Luasa ukuje huku tupige makofi ya furaha cz ushidi ushapita sasa
  14. C

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Trh 22 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima kwa sura ya 1 & 6

    Mmmh haya pitisheni tu hiyo ya serikali 2 sasa mnabishana nn wakati kilamtu anaunga serikali 2
Back
Top Bottom