1. heri ya mwaka mpya 2020.
2. Napingana na wanaoshauri “ignore”. akili na roho haijaumbwa hivyo, tumeumbwa kujali, tumeumbwa na remorse, feelings, love nk. na hata hao wanaosema wamekufa eneo hilo, si wakweli kwako na kwao binafsi.
3. You can’t attach whats built in silence. yani una vita...