wewe: ulale vizuri unywe maji na uwe na vitu vya kufikiria kwa hayo masaa 10-12 utakayotumia peke yako njiani
safety gears: uwe na helmet sahihi inayofunika
kichwa kizima, yenye shades za jua sio
hizi za 50k kushuka chini. koti na suruali ya mvua, koti na suruali ya kusafiria, na ndani za...
actually sheria za kwetu hapa haziruhusu kujitangaza kwa taaluma ya architecture kama ilivyo udaktari
lakini sbb ya social media boom, vijana kumaliza shule bila kupata after school
training, njaa na changamoto za kipato basi hadi wasio na fani wameingilia shughuli, wengi insta pia sio...
Kama utajenga utamtumia tu directly au indirectly.. ukichukua mchoro mtandaoni, kwa mtu aliejenga tayari, ukimfata engineer atarudi kwa architect, akichora mwenyewe basi atatumia skills hizo hizo.. ukimtumia fundi atarudi huko huko au arudi kwa jengo lililochorwa na architect.. hakwepeki! njia...
mkuu una changamoto ya afya afu unauliza kama kuna umuhimu wowote wakumtumia daktari..?
nafkiri swali zuri lingekua “nampataje architect sahihi kwa ajili ya kazi yangu yangu xyz..?”
the best way to get a proper architect ni kwa kupewa recommendation kutoka kwa mtu unaemfahamu sahihi aliefanya...
sababu mtu ukishindwa kumnunua kwa pesa, ukashindwa kumtawala akili na ukashindwa kum intimidate. basi option unabaki nayo ni unayoyaona sasa!
btw naona hata hauko informed kujadili hii habari au unajitoa ufahamu na kuegemea kwenye uf...
if this is the case, what of the court orders that the govt should return back his valid passports, unconditionally allow him to the country, facilitate his returns as of damages nk... ina maana wewe unaelewa issue yake kuliko 17 or so court orders walizotoa for him, against the govt! kama...
“wanaondoka kabla hawajala” and thats my point exactly, hapo tatizo sio msimamo wako ndo wenye shida au wao kukosa pakula pia sio shida. shida ni kwamba goli liko kulia wewe unapiga shuti upande wa kushoto.
mkuu utaeleweka kama ukiweka vigezo na milestones.. wiki ya kwanza pale unajikusanyia maswali yako ya kutosha na kuhakikisha unapata majibu, alafu maisha ni package so namna mnavyofungukiana socially, economically basi pia na intimacy nayo inaenda hivyo. mwanaume ambae mna siku kama tatu...
kwanza baba wa familia unafanya nn asubui paka jioni nyumbani.. uskute umehamishia ugomvi na housegirl mnagombania rimoti ya tv!
Sent from my iPhone using JamiiForums
1. heri ya mwaka mpya 2020.
2. Napingana na wanaoshauri “ignore”. akili na roho haijaumbwa hivyo, tumeumbwa kujali, tumeumbwa na remorse, feelings, love nk. na hata hao wanaosema wamekufa eneo hilo, si wakweli kwako na kwao binafsi.
3. You can’t attach whats built in silence. yani una vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.