Recent content by cejo

  1. C

    Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125

    wewe: ulale vizuri unywe maji na uwe na vitu vya kufikiria kwa hayo masaa 10-12 utakayotumia peke yako njiani safety gears: uwe na helmet sahihi inayofunika kichwa kizima, yenye shades za jua sio hizi za 50k kushuka chini. koti na suruali ya mvua, koti na suruali ya kusafiria, na ndani za...
  2. C

    Kuna faida zozote za kumtumia Architect? Ama ni kupoteza pesa tu?

    actually sheria za kwetu hapa haziruhusu kujitangaza kwa taaluma ya architecture kama ilivyo udaktari lakini sbb ya social media boom, vijana kumaliza shule bila kupata after school training, njaa na changamoto za kipato basi hadi wasio na fani wameingilia shughuli, wengi insta pia sio...
  3. C

    Kuna faida zozote za kumtumia Architect? Ama ni kupoteza pesa tu?

    Kama utajenga utamtumia tu directly au indirectly.. ukichukua mchoro mtandaoni, kwa mtu aliejenga tayari, ukimfata engineer atarudi kwa architect, akichora mwenyewe basi atatumia skills hizo hizo.. ukimtumia fundi atarudi huko huko au arudi kwa jengo lililochorwa na architect.. hakwepeki! njia...
  4. C

    Kuna faida zozote za kumtumia Architect? Ama ni kupoteza pesa tu?

    mkuu una changamoto ya afya afu unauliza kama kuna umuhimu wowote wakumtumia daktari..? nafkiri swali zuri lingekua “nampataje architect sahihi kwa ajili ya kazi yangu yangu xyz..?” the best way to get a proper architect ni kwa kupewa recommendation kutoka kwa mtu unaemfahamu sahihi aliefanya...
  5. C

    Uzi wa kuweka picha zilizotengenezwa na kompyuta

    Mkuu, i wish energy/time or both uliyonayo ungeweka nguvu on these three related softwares.. rhinoceros, grasshopper and python.. all together!
  6. C

    Kuna tofauti yoyote ya tabia na hatima ya hawa wawili: Miguna Miguna wa Kenya na Tundu Lissu wa Tanzania?

    sababu mtu ukishindwa kumnunua kwa pesa, ukashindwa kumtawala akili na ukashindwa kum intimidate. basi option unabaki nayo ni unayoyaona sasa! btw naona hata hauko informed kujadili hii habari au unajitoa ufahamu na kuegemea kwenye uf...
  7. C

    Kuna tofauti yoyote ya tabia na hatima ya hawa wawili: Miguna Miguna wa Kenya na Tundu Lissu wa Tanzania?

    if this is the case, what of the court orders that the govt should return back his valid passports, unconditionally allow him to the country, facilitate his returns as of damages nk... ina maana wewe unaelewa issue yake kuliko 17 or so court orders walizotoa for him, against the govt! kama...
  8. C

    Kuna ukweli kuwa mapenzi hujengwa na ngono pekee?

    ushaona wapi gari linatembea bila mafuta, gas au umeme! wala gari halipendi mafuta ila yasipokuwepo litakua juu ya mawe.
  9. C

    Kuna ukweli kuwa mapenzi hujengwa na ngono pekee?

    “wanaondoka kabla hawajala” and thats my point exactly, hapo tatizo sio msimamo wako ndo wenye shida au wao kukosa pakula pia sio shida. shida ni kwamba goli liko kulia wewe unapiga shuti upande wa kushoto.
  10. C

    Kuna ukweli kuwa mapenzi hujengwa na ngono pekee?

    mkuu utaeleweka kama ukiweka vigezo na milestones.. wiki ya kwanza pale unajikusanyia maswali yako ya kutosha na kuhakikisha unapata majibu, alafu maisha ni package so namna mnavyofungukiana socially, economically basi pia na intimacy nayo inaenda hivyo. mwanaume ambae mna siku kama tatu...
  11. C

    Kuna ukweli kuwa mapenzi hujengwa na ngono pekee?

    naomba nisaidie ku summarize asipate shida ya kusoma au kuelewa! “it is not everything, it is the only thing!”
  12. C

    Tabia hii ya mke wangu inaashiria nini?

    kwanza baba wa familia unafanya nn asubui paka jioni nyumbani.. uskute umehamishia ugomvi na housegirl mnagombania rimoti ya tv! Sent from my iPhone using JamiiForums
  13. C

    Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

    1. heri ya mwaka mpya 2020. 2. Napingana na wanaoshauri “ignore”. akili na roho haijaumbwa hivyo, tumeumbwa kujali, tumeumbwa na remorse, feelings, love nk. na hata hao wanaosema wamekufa eneo hilo, si wakweli kwako na kwao binafsi. 3. You can’t attach whats built in silence. yani una vita...
Back
Top Bottom