Recent content by cebran

  1. C

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia 'Nyash' kuliko tabia utakuja kuliona balaa lake

    Hiyo stage unayosema imerukwa kama uliifanya ipasavyo ndio inayoacha makovu yanayofanya ndoa ziwe na vurugu, yaani upitie ujana wa wanawake ipasavyo then usiwe na watoto? Au unywe pombe ujanani ipasavyo lazima itakuachia makovu labda uwe unajaribi
  2. C

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia 'Nyash' kuliko tabia utakuja kuliona balaa lake

    Ndoa inahusisha watu wawili wewe mshukuru mungu wakati wewe unastaafu na huyo mkeo aliamua hivyo
  3. C

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia 'Nyash' kuliko tabia utakuja kuliona balaa lake

    Omba tu mungu Umiza kichwa Huwa anaakikisha hasumbuani na ila anakonnect na miimili ya nchi hivyo unakuwa nasumbuana au kubishana huko
  4. C

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia 'Nyash' kuliko tabia utakuja kuliona balaa lake

    Ukiona unaishi na huyo mwenza wako Kwa amani ni either mmoja wenu yupo kimaslahi or sio mwaminifu au uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo
  5. C

    JamiiForums Tanzania Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Kama vyote ni vigezo si inabidi ufaulu vyote
  6. C

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya nchi kubadili Sheria za uongozi

    Nilichomaanisha kwani hizi Sheria zilizopo sio kama zilishuka Toka mbinguni Bali zilitungwa hivyo tunaweza jitungia TU Sheria mpya kwamba " rais atamteua mtu yoyote kuwa waziri na automatically ataapishwa na spika kuwa mbunge habari itakuwa imesisha hiyo Kwani hili la rais kuteua wabunge kumi si...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya nchi kubadili Sheria za uongozi

    Duh, Sasa hapo si maamuzi TU ya kubadili Sheria kuwa " mtu akishateuliwa kuwa waziri basi anaruhisiwa kuingia kungeni" kwani wale wanaoteuliwa na rahisi inakuwaje
  8. C

    JamiiForums Tanzania Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

    Mkeo SI ndugu yako, narudia mkeo si ndugu Yako, kama hujawahi kupata tatizo la kukufanya ujisaidie ukiwa umelala Kwa zaidi ya miezi minne usimalize kusema, Waache na unafiki wao ila nakuhakikishia wakati mkeo atakuwa busy kuficha hati za nyumba na kadi za magari wanafiki watakuwa bize na mavi...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

    Ingekuwa rahisi Kila mwenye channel angeweka channel zake iwe 8k kabisa na kurusha matangazo Kwa hd isingekuwa selling point
  10. C

    JamiiForums Tanzania Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

    Hiyo ni SD mkuu, na kama ingekuwa rahisi hata yeye channel zake zote angeweka hd Hd anazo tano tu
  11. C

    JamiiForums Tanzania Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

    Unaweza ukawa na vifaa vizuri ila ukashindwa kulipia supporting bills, Mfano Ili urushe hayo matangazo transponder Moja kukodi Kwa wamiliki wa satellite yenye uwezo wa kurusha matangazo Kwa njia ya full hd, 4k gharama yake inaweza kuzidi gharama ya vifaa vyako na studio Kwa ujumla, hivyo wengi...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

    Nilichogundua maisha huwa matamu pale unapopambana ili utimize jambo Fulani ila ukishapata Kila kitu baada ya muda huwa hamna furaha kwani Kila unachikitaka unakifanya bila jasho na akili hivyo halikupi attention uliokusudia, hii changamoto hata Mimi napitia
  13. C

    JamiiForums Tanzania Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

    Kampuni ya uhakika haijalishi umenunua mwenyewe au la watakupa bidhaa nzuri TU kwani wao ndio wanatakiwa wawahakikishie bidhaa Bora wateja wao nje ya hapo hiyo kampuni ni janja janja imebaki kuuzia jina
  14. C

    JamiiForums Tanzania Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

    Kwa Sasa maisha yanaenda Kwa mfumo kuzaa zaa tu ili watoto waje wajitafutie bila kuwatengeneza ili wafiti kwenye mfumo ni kumleta Ili aje ateseke,
Back
Top Bottom