Recent content by cebran

  1. C

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Kama vyote ni vigezo si inabidi ufaulu vyote
  2. C

    Kuna haja ya nchi kubadili Sheria za uongozi

    Nilichomaanisha kwani hizi Sheria zilizopo sio kama zilishuka Toka mbinguni Bali zilitungwa hivyo tunaweza jitungia TU Sheria mpya kwamba " rais atamteua mtu yoyote kuwa waziri na automatically ataapishwa na spika kuwa mbunge habari itakuwa imesisha hiyo Kwani hili la rais kuteua wabunge kumi si...
  3. C

    Kuna haja ya nchi kubadili Sheria za uongozi

    Duh, Sasa hapo si maamuzi TU ya kubadili Sheria kuwa " mtu akishateuliwa kuwa waziri basi anaruhisiwa kuingia kungeni" kwani wale wanaoteuliwa na rahisi inakuwaje
  4. C

    Nimepata mtoto wa kiume usiku huu, baada ya kuwa kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 7

    Mkeo SI ndugu yako, narudia mkeo si ndugu Yako, kama hujawahi kupata tatizo la kukufanya ujisaidie ukiwa umelala Kwa zaidi ya miezi minne usimalize kusema, Waache na unafiki wao ila nakuhakikishia wakati mkeo atakuwa busy kuficha hati za nyumba na kadi za magari wanafiki watakuwa bize na mavi...
  5. C

    Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

    Ingekuwa rahisi Kila mwenye channel angeweka channel zake iwe 8k kabisa na kurusha matangazo Kwa hd isingekuwa selling point
  6. C

    Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

    Hiyo ni SD mkuu, na kama ingekuwa rahisi hata yeye channel zake zote angeweka hd Hd anazo tano tu
  7. C

    Azam TV wazindua mitambo mipya ikiwemo VAR, kamera moja tu imegharimu Tsh. Milioni 500

    Unaweza ukawa na vifaa vizuri ila ukashindwa kulipia supporting bills, Mfano Ili urushe hayo matangazo transponder Moja kukodi Kwa wamiliki wa satellite yenye uwezo wa kurusha matangazo Kwa njia ya full hd, 4k gharama yake inaweza kuzidi gharama ya vifaa vyako na studio Kwa ujumla, hivyo wengi...
  8. C

    Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

    Nilichogundua maisha huwa matamu pale unapopambana ili utimize jambo Fulani ila ukishapata Kila kitu baada ya muda huwa hamna furaha kwani Kila unachikitaka unakifanya bila jasho na akili hivyo halikupi attention uliokusudia, hii changamoto hata Mimi napitia
  9. C

    Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

    Kampuni ya uhakika haijalishi umenunua mwenyewe au la watakupa bidhaa nzuri TU kwani wao ndio wanatakiwa wawahakikishie bidhaa Bora wateja wao nje ya hapo hiyo kampuni ni janja janja imebaki kuuzia jina
  10. C

    Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

    Kwa Sasa maisha yanaenda Kwa mfumo kuzaa zaa tu ili watoto waje wajitafutie bila kuwatengeneza ili wafiti kwenye mfumo ni kumleta Ili aje ateseke,
  11. C

    Nini husabanisha gari kuunguza alternator mara kwa mara

    Nina gari yangu Mitsubishi Pajero mini mwezi uliopita taa ya kuashiria alternator inashida iliwaka kwenye dash board, nikanunua mpya tulivyofunga taa ikazima ila baada ya siku moja taa ikawaka tena, Wajuzi hapo shida inaweza kuwa nini kinasababisha?
  12. C

    Ni msomi yupi mwenye sifa hizi na bado yuko mtaani hana ajira?

    Kuna watu mpaka Sasa Bado hawajajua uhalisia kama mtoa mada, unatangaza nafasi ajira ya watu 50 wanaomba 1500 hapo hizo first na upper second ni zaidi ya 400 na hiyo ndio trend kwa sasa kwa tangazo la ajira
Back
Top Bottom