Nilichomaanisha kwani hizi Sheria zilizopo sio kama zilishuka Toka mbinguni Bali zilitungwa hivyo tunaweza jitungia TU Sheria mpya kwamba " rais atamteua mtu yoyote kuwa waziri na automatically ataapishwa na spika kuwa mbunge habari itakuwa imesisha hiyo
Kwani hili la rais kuteua wabunge kumi si...
Duh, Sasa hapo si maamuzi TU ya kubadili Sheria kuwa " mtu akishateuliwa kuwa waziri basi anaruhisiwa kuingia kungeni" kwani wale wanaoteuliwa na rahisi inakuwaje
Mkeo SI ndugu yako, narudia mkeo si ndugu Yako, kama hujawahi kupata tatizo la kukufanya ujisaidie ukiwa umelala Kwa zaidi ya miezi minne usimalize kusema,
Waache na unafiki wao ila nakuhakikishia wakati mkeo atakuwa busy kuficha hati za nyumba na kadi za magari wanafiki watakuwa bize na mavi...
Unaweza ukawa na vifaa vizuri ila ukashindwa kulipia supporting bills,
Mfano Ili urushe hayo matangazo transponder Moja kukodi Kwa wamiliki wa satellite yenye uwezo wa kurusha matangazo Kwa njia ya full hd, 4k gharama yake inaweza kuzidi gharama ya vifaa vyako na studio Kwa ujumla, hivyo wengi...
Nilichogundua maisha huwa matamu pale unapopambana ili utimize jambo Fulani ila ukishapata Kila kitu baada ya muda huwa hamna furaha kwani Kila unachikitaka unakifanya bila jasho na akili hivyo halikupi attention uliokusudia, hii changamoto hata Mimi napitia
Kampuni ya uhakika haijalishi umenunua mwenyewe au la watakupa bidhaa nzuri TU kwani wao ndio wanatakiwa wawahakikishie bidhaa Bora wateja wao nje ya hapo hiyo kampuni ni janja janja imebaki kuuzia jina
Nina gari yangu Mitsubishi Pajero mini mwezi uliopita taa ya kuashiria alternator inashida iliwaka kwenye dash board, nikanunua mpya tulivyofunga taa ikazima ila baada ya siku moja taa ikawaka tena,
Wajuzi hapo shida inaweza kuwa nini kinasababisha?
Kuna watu mpaka Sasa Bado hawajajua uhalisia kama mtoa mada, unatangaza nafasi ajira ya watu 50 wanaomba 1500 hapo hizo first na upper second ni zaidi ya 400 na hiyo ndio trend kwa sasa kwa tangazo la ajira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.