Recent content by cccltd

  1. C

    Natafuta kiwanja /shamba kigamboni au bagamoyo

    MKOPO WA VIWANJA NA VIFAA VYA UJENZI. Sifa za mkopaji: Mfanyakazi au mfanyabiashara . Kwa mfanyakazi wa serikali anatakiwa awe na salary slip tu .( kipato chake kitaamua atakopa kiwanja cha kiasi gani) *mfanyakazi wa sekta binafsi mwajiri wake anatakiwa amdhamini. *mfanyabiashara: iwe...
  2. C

    Natafuta kiwanja na shamba lakini sio kupitia madalali

    MKOPO WA VIWANJA NA VIFAA VYA UJENZI. Sifa za mkopaji: Mfanyakazi au mfanyabiashara . Kwa mfanyakazi wa serikali anatakiwa awe na salary slip tu .( kipato chake kitaamua atakopa kiwanja cha kiasi gani) *mfanyakazi wa sekta binafsi mwajiri wake anatakiwa amdhamini. *mfanyabiashara: iwe...
  3. C

    TUNAKUHAKIKISHIA KUMILIKI NYUMBA.

    CCC LTD,inawakaribisha Watanzania wote kwenye mradi wa uwezeshaji ktk sekta ya Makazi. Sera yetu ni kufanikisha upatikanaji wa Makazi kwa njia rahisi kwa watu wengi wa kipato cha chini kati na hata wale wenye kipato cha juu. <Mpango wetu unawaalika wenye mahitaji yafuatayo:< *Wenye mipango ya...
  4. C

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Jiunge katika mradi utakaokuhahakishia kumiliki nyumba yako. Kila anayenunua KIWANJA hutarajia kujenga lakini wengi wameshindwa kwasababu mbalimbali. CCC ltd tunakuhakikishia kumiliki nyumba yako. **kama wewe ni mfanyakazi au mfanyabiashara Fanya yafuatayo : Fika ofisini : Dar business...
  5. C

    List ya NGO za Tanzania inapatikana

    Nicheki please 0762781778 what's up
  6. C

    TUNAKUHAKIKISHIA KUMILIKI NYUMBA.

    Jiunge katika mradi utakaokuhahakishia kumiliki nyumba yako. Kila anayenunua KIWANJA hutarajia kujenga lakini wengi wameshindwa kwasababu mbalimbali. CCC ltd tunakuhakikishia kumiliki nyumba yako. **kama wewe ni mfanyakazi ,mfanyakazi Fanya yafuatayo : Fika ofisini : Dar business complex (...
  7. C

    Mkopo wa viwanja + vifaa vya ujenzi

    1 km toka Azam complex ,mita 400 toka Rufu Mbande kuna eneo linaitwa Mlamleni hapo ndipo mradi ulipo , eneo hili kijografia linasomeka Wilaya ya Mkuranga ,ni mpakani mwa Temeke na Mkuranga ,eneo zuri lipo juu ,hewa ya kutosha sehemu kubwa ni tambarale.Miundo mbinu ya umeme ,Barabara tayari...
  8. C

    Mkopo wa viwanja + vifaa vya ujenzi

    Utafiti unaonyesha watu wengi hawakopesheki kwa kukosa dhamana,anuani na jinsi ya kuonyesha mapato yao kwa mfumo rasmi, hivyo basi watu wa kundi hili ngao yao kubwa ni umoja ,tunashauri watu waungane na kuja kutuona tuandae mfumo wa kuwasaidia .
  9. C

    Mkopo wa viwanja + vifaa vya ujenzi

    Lazima tukae kuona ni kiasi gani utahitaji ndipo tunaweza kujua ni kiasi gani utaweza kukopeshwa na jinsi ya kulipa
  10. C

    Mkopo wa viwanja + vifaa vya ujenzi

    Kwasasa tunawezesha wale Wateja wetu wa Viwanja , lakini tunakiri kupokea maombi mengi kama ya kwako _,tunayafanyia kazi
  11. C

    Mkopo wa viwanja + vifaa vya ujenzi

    Bado hatujafika tunatarajia kufika kulingana na uhitaji
  12. C

    Mkopo wa viwanja + vifaa vya ujenzi

    MTU akishindwa kulipa tutauza na kurejesha alichotoa
Back
Top Bottom