1 km toka Azam complex ,mita 400 toka Rufu Mbande kuna eneo linaitwa Mlamleni hapo ndipo mradi ulipo , eneo hili kijografia linasomeka Wilaya ya Mkuranga ,ni mpakani mwa Temeke na Mkuranga ,eneo zuri lipo juu ,hewa ya kutosha sehemu kubwa ni tambarale.Miundo mbinu ya umeme ,Barabara tayari...