Diogo Jota, mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Ureno, amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia Julai 3, 2025, huko Zamora, Hispania. Katika ajali hiyo, ndugu yake André Jota pia alipoteza maisha. Ajali hiyo ilitokea kwenye barabara ya A-52 karibu na mji wa...