Shida ya mwanamke anaeongoza Ni kwamba anahusudu sana rushwa na ufisadi Hadi inampelekea upofu, Hadi wanainchi wanaona Kama inchi inaendeshwa na Yakuza mob
Waswahili husema, "nia njema hailogwi" serikali inakosa dhamira njema katika kushughulikia ustawi na usawa nchini, kwa ufupi serikali imewekwa mfukoni na wagiriki wachache
Usiwe ignorant hivyo ndugu, hata makamu mwenyekiti Jana alituhusia, tukisema tuseme kwa staha, nimetoa maoni yangu, Katiba inaniruhusu ndugu, kwani wewe Ni nani kwenye taasisi ya presidency?
Kumekuwa na mkakati mkumbwa wa kuaminisha watu kuhusu mwenendo wa siasa zetu, na kwa bahati mbaya sana chama kilichopo madarakani, chama cha mapinduzi kumekuwa kikipambana chenyewe dhidi ya kivuli chake, yaani kila awamu inaisema awamu iliyopita. Ilitokea kwa Kikwete alivyoachiwa na Mkapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.